eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mr Devil utangojea matokeo kati ya Mill broh na NEGAN atayepita utakutana nae Nusu

Nusu final nyingine ni kati ya Kandambili1 vs Warld

Mechi kali kabisa😃😃
IMG_20250823_070039_904.jpg
 
Hii app yako inatunza record za nyuma maana kila round napewa watu kazi😀
Robo fainal huwa inamkutanisha mtu 1 vs 8 na wa 2 vs 7 wa 3 vs 6 na Wa 4 vs 5

Then kunakuwa na makundi mawili
1 vs 8 na 4 vs 5 na kundi la pili ni 2 vs 7 na 3 vs 6 ambapo washindi wa sehemu moja watakutana nusu fainali


Sasa wewe mkuu ni either uwe kwenye namba moja au kama saiv ulipo chini huko😃😃 kwahiyo ni kazi kazi kila hatua
 
Back
Top Bottom