eFootball Special Thread

Umeshafanya mawasiliano na hospital/zahanati yoyote ya karibu wakaandae ambulance na ICU? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivi kumbe naekutana nae ni Warld? Nahisi anatafuta hivyo vitu nilivyotaja hapo juu πŸ˜‚
Ulikuwa hujaona anakuletea michezo ya kandambili ujae🀣🀣
 
Niliishia dvn 2 aiseh nashindwa vuka mkuu....mpira kazi nao naushindwa
Kaza hakuna ukikata tamaa hutoboi me leo nimecheza na point 1733 to 1784 tangu asubuhi saa nneπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Nikifika tuu 1784 napigwa au nadraw πŸ˜ƒπŸ˜ƒtangu saa nne napambana tuu mwishon kabisa nimesema sasa hii ya mwisho nitaendele mwezi ujao ndo nikashindaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…