Tatizo app zilizopo zinaumuhimu aisee, nitaangalia ambazo hazijatumika muda mrefu nipite nazo.Futa apps nyingine kaka
Burudani, unauhakika wa Isco tayari πNadhan nitakuwa nacheza events tuu kuanzia kesho kukusanya coins 50 basiView attachment 3449036
Dah nilitoka online mzee, upo?Twende hukuπ
πΉπΉkaka saivi umekua na hatari, Baada ya vijana kutaka kukuzoea vibayaUkitoka kwanza kwangu kubeba point zako ndio uende hukoπ
Fanya hivyo ila jaribu kuupdate linaweza kubaliTatizo app zilizopo zinaumuhimu aisee, nitaangalia ambazo hazijatumika muda mrefu nipite nazo.
Sina uhakika bado konami hawachelewi kusema top 100Kπ€£π€£π€£Burudani, unauhakika wa Isco tayari π
PoaFanya hivyo ila jaribu kuupdate linaweza kubali
πΉπΉgolden boy ana lindwa kama mess hawezi pata injuryUshauri bora aende na Razorblade wakati injury ipo on yamkin Doue atakuwa ameumiaπ€£π€£
Rufaa zipo πSina uhakika bado konami hawachelewi kusema top 100Kπ€£π€£π€£
kijana utapata injury ya vidoleNadhan nitakuwa nacheza events tuu kuanzia kesho kukusanya coins 50 basiView attachment 3449036
Umeshafanya mawasiliano na hospital/zahanati yoyote ya karibu wakaandae ambulance na ICU? ππππΉπΉgolden boy ana lindwa kama mess hawezi pata injury
Kwann π€£π€£kijana utapata injury ya vidole
Ulikuwa hujaona anakuletea michezo ya kandambili ujaeπ€£π€£Umeshafanya mawasiliano na hospital/zahanati yoyote ya karibu wakaandae ambulance na ICU? πππ
Hivi kumbe naekutana nae ni Warld? Nahisi anatafuta hivyo vitu nilivyotaja hapo juu π
πΉπΉ game yangu na wewe lazima mtu atoke na red mana kukaba ni Buti butiUmeshafanya mawasiliano na hospital/zahanati yoyote ya karibu wakaandae ambulance na ICU? πππ
Hivi kumbe naekutana nae ni Warld? Nahisi anatafuta hivyo vitu nilivyotaja hapo juu π
Niliishia dvn 2 aiseh nashindwa vuka mkuu....mpira kazi nao naushindwaNadhan nitakuwa nacheza events tuu kuanzia kesho kukusanya coins 50 basiView attachment 3449036
πππKungekuwepo na mtu wa kustream tuangalie aseeπππΉπΉ game yangu na wewe lazima mtu atoke na red mana kukaba ni Buti buti
Kaza hakuna ukikata tamaa hutoboi me leo nimecheza na point 1733 to 1784 tangu asubuhi saa nneπππNiliishia dvn 2 aiseh nashindwa vuka mkuu....mpira kazi nao naushindwa