Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Nikatoa boko bhana jamaa akaweka chuma wavuni mapema sana, kabla hajamaliza kushangilia vizuri nikamnyamazisha na ubao ukawa unasoma 1-1 π.
Dakika chache kabla ya kipindi cha kwanza hakijaisha nikaweka chuma ya pili na ubao ukawa unasomeka 2-1, nikasema sasa hapa naweka ultra defensive ili nimalize kipindi nikiwa naongoza π.
Kurudi kipindi cha pili sasa jamaa akaja na moto mwingi sana ikabidi niweke ultra defensive mapema π, haikupita muda mrefu akajichanganya bhana nikaweka chuma ya 3, ubao ukasomeka 3-1.
Huko dvn nikiwa naongoza tu basi ujue kinachofata hapo ni kukuwekea ultra defensive π, jamaa aliniwashia moto lakini katikati ya mechi nikapata ujasiri wa kuscreenshot sababu ya ultra defensive.
πππ
Namna vile ambavyo mpinzani alikuwa moto golini kwangu ila shukrani ziende kwa ultra defensive π.
πππ
Dakika chache kabla ya kipindi cha kwanza hakijaisha nikaweka chuma ya pili na ubao ukawa unasomeka 2-1, nikasema sasa hapa naweka ultra defensive ili nimalize kipindi nikiwa naongoza π.
Kurudi kipindi cha pili sasa jamaa akaja na moto mwingi sana ikabidi niweke ultra defensive mapema π, haikupita muda mrefu akajichanganya bhana nikaweka chuma ya 3, ubao ukasomeka 3-1.
Huko dvn nikiwa naongoza tu basi ujue kinachofata hapo ni kukuwekea ultra defensive π, jamaa aliniwashia moto lakini katikati ya mechi nikapata ujasiri wa kuscreenshot sababu ya ultra defensive.
πππ
Namna vile ambavyo mpinzani alikuwa moto golini kwangu ila shukrani ziende kwa ultra defensive π.
πππ