Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,876
- 12,240
Baadae tupasheNani yupo online match moja ⚽️⚽️
Sawa sawaBaadae tupashe
Wakati naanza kucheza Pvp ilikuwa mechi ikianza tuu nawasha defensive zote mbili 😃sasa nikikutana na mtu ambaye anawasha attacking zote mbili nilikuwa napenda mno maana nikipiga tu through na strikers wangu walikuwa na counter target unakuta yupo peke ake kinachofata ni kushinda tu goli 🤣 kuna mshkaji wangu aliniambia acha usizoee hvyo ndo nikaacha isingekuwa hvyo ningeendelea na umafaia wanguNikatoa boko bhana jamaa akaweka chuma wavuni mapema sana, kabla hajamaliza kushangilia vizuri nikamnyamazisha na ubao ukawa unasoma 1-1 😂.
Dakika chache kabla ya kipindi cha kwanza hakijaisha nikaweka chuma ya pili na ubao ukawa unasomeka 2-1, nikasema sasa hapa naweka ultra defensive ili nimalize kipindi nikiwa naongoza 😂.
Kurudi kipindi cha pili sasa jamaa akaja na moto mwingi sana ikabidi niweke ultra defensive mapema 😂, haikupita muda mrefu akajichanganya bhana nikaweka chuma ya 3, ubao ukasomeka 3-1.
Huko dvn nikiwa naongoza tu basi ujue kinachofata hapo ni kukuwekea ultra defensive 😂, jamaa aliniwashia moto lakini katikati ya mechi nikapata ujasiri wa kuscreenshot sababu ya ultra defensive.
👇👇👇
View attachment 3309157
Namna vile ambavyo mpinzani alikuwa moto golini kwangu ila shukrani ziende kwa ultra defensive 😂.
👇👇👇
View attachment 3309166
Huyo Ben white anapiga cross ajabuLeo nimekutana na mtu kafanyiwa script alikuwa na Gnabry ana pinpoint crossing na Nunez wa booster mbili anaruka huyo balaa kila cross anpiga kichwa jamaa kapiga cross kama 14 hivi tano zimegonga post Nunez anruka kichwa kinagonga post tuu😂😂😂
Alafu mbaya zaid dakika za jioni napata goli nadhan imemuuma sana hii mechi
Kuja kumchek jamaa yupo division one rank ya 79,000 na kikosi chake cha kawaida tuu
View attachment 3309232View attachment 3309233
Na huo mfumo umefit kabisa😂😂😂Huyo Ben white anapiga cross ajabu
Sema hizi ndogo sana kwangu nachezaga my league games 20 kwa siku Nikiwa na vibe😂Kwenda division 3 point 23😃View attachment 3309249
Mimi hii huwa nawasha baada ya kuongoza kuanzia goli 2 au wakati mwingine ikiwa mpaka kipindi cha pili naongoza goli 1, huko dvn nitaitumia sana tu.Wakati naanza kucheza Pvp ilikuwa mechi ikianza tuu nawasha defensive zote mbili 😃sasa nikikutana na mtu ambaye anawasha attacking zote mbili nilikuwa napenda mno maana nikipiga tu through na strikers wangu walikuwa na counter target unakuta yupo peke ake kinachofata ni kushinda tu goli 🤣 kuna mshkaji wangu aliniambia acha usizoee hvyo ndo nikaacha isingekuwa hvyo ningeendelea na umafaia wangu
Nilikutana na jamaa DMF ni edgar davids aisee nilimtesa sana hapo kati nahisi baada ya mechi hakuvua viatu 😂.Leo nimekutana na mtu kafanyiwa script alikuwa na Gnabry ana pinpoint crossing na Nunez wa booster mbili anaruka huyo balaa kila cross anpiga kichwa jamaa kapiga cross kama 14 hivi tano zimegonga post Nunez anruka kichwa kinagonga post tuu😂😂😂
Alafu mbaya zaid dakika za jioni napata goli nadhan imemuuma sana hii mechi
Kuja kumchek jamaa yupo division one rank ya 79,000 na kikosi chake cha kawaida tuu
View attachment 3309232View attachment 3309233
Umeamua kukomaa na AI 😂.Kwenda division 3 point 23😃View attachment 3309249
Division pagumu😃Umeamua kukomaa na AI 😂.
Mkuu kugumu kiasi tu, nimecheza game 3, 2 nimeshinda na 1 simu ilizingua ikatoka kwenye game.Division pagumu😃
Umefika division 3?Mkuu kugumu kiasi tu, nimecheza game 3, 2 nimeshinda na 1 simu ilizingua ikatoka kwenge game.
Bado mkuu.Umefika division 3?
Nitaanza kuwasha ngoja ningojee hawa waliokuwa division one walud kwao nianze kuchezaMimi hii huwa nawasha baada ya kuongoza kuanzia goli 2 au wakati mwingine ikiwa mpaka kipindi cha pili naongoza goli 1, huko dvn nitaitumia sana tu.
Me namtaka nikimpiga na deepline yangu beki zangu zote za build up patanoga sanaNilikutana na jamaa DMF ni edgar davids aisee nilimtesa sana hapo kati nahisi baada ya mechi hakuvua viatu 😂.
Huko dvn kuna watu wanapeleka moto na vile hakuna kucheza mpira mzuri kuiwasha hiyo ukiwa u aongoza muhimu.Nitaanza kuwasha ngoja ningojee hawa waliokuwa division one walud kwao nianze kucheza