View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂