Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Tunapishana mno mkuuMkuu mda ni sasa
Ukifika sema muda ambao utakuja online tena niwepo
Tunapishana mno mkuuMkuu mda ni sasa
Khalas 😂😹naona kabisa niki kutana na Bwana wa halotel labda tu kandambili afanye yake , una pingamizi bwana slow slow Warld ?😹😹
Haya maneno ukiyatafakari kwa umakini zaidi unaona kabisa hii ni tahadhari nimepewa 😂Hahah mkuu kwako sio ngumu kabisa Sina maajabu yoyote hahaha...nakutakia ushindi kwenye hii game.
AIsee haya ngoja tuone 😂Kandambili1 ana hatari anaenda kama haendi ,me ni shabiki yake lakini ningependa bwana wa haloteli arudi tena nimchape ana mdomo sana😹😹
Nikimfunga ataomba apewe ban maana... 😂😂😂Razorblade nakukumbusha hujawai mfunga Gilberto🤣🤣🤣
Huyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... 😂😂😂
Sawa bingwaHuyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... 😂😂😂
Kama anabet huyu basi anarusha aviator 😂😂😂
Masta ni Razorblade 🤣🤣🤣ambaye kaona upo slow me sijui kitu😃😃
Ni vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.Slow slow
Hizo aviator ni kwako tuu kwangu anapanga mpira chini mzee 😃 😃 😃 au kwasababu ananimuudu🤣🤣Huyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... 😂😂😂
Kama anabet huyu basi anarusha aviator 😂😂😂
Hizo aviator ni kwako tuu😃😃✊ni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosa😃😃Ni vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.
Nimeliona kwa sababu mie mwenyewe bado nafanyia kazi kuhusu speed.
Ingekuwa simu yangu iko vizuri ningerecord mechi nzima halafu uone hivyo vindege huko juu 😂Hizo aviator ni kwako tuu kwangu anapanga mpira chini mzee 😃 😃 😃 au kwasababu ananimuudu🤣🤣
Ni vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.
Nimeliona kwa sababu mie mwenyewe bado nafanyia kazi kuhusu speed.
Formation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga passHizo aviator ni kwako tuu😃😃✊ni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosa😃😃
Sawa masta wa sex ballIngekuwa simu yangu iko vizuri ningerecord mechi nzima halafu uone hivyo vindege huko juu 😂
Kitu ambacho namuelewa ni kwenye kutumia nafasi.Hizo aviator ni kwako tuu😃😃✊ni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosa😃😃
Sema unajua mkuu mimi sina baya kabisa, nafasi unazitumia vizuri.Formation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga pass
Ila we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwaKitu ambacho namuelewa ni kwenye kutumia nafasi.
Mtu akinifunga kwa style ya aviator siwezi mpa sifa ila yeye nampa sifa kwenye kutumia nafasi 😂
Yan ungejua mfumo wake una matobo mengi sana usingetumia hata aviator 😃😃😃Formation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga pass
Ntamuomba friendlyYan ungejua mfumo wake una matobo mengi sana usingetumia hata aviator 😃😃😃
Wachezaji wanatoka mno panga pasi moja moja utaona
🤣🤣🤣NimechekaIla we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwa
Easy mkuu, tunaburudika 😂😂😂Ila we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwa