Ndo unatakiwa ukaze kidole πDuh gilberto unagonga pass balaa unatumia simu aina ganiπ
Duh 1800 coins in the drainπKupoteza coins kunaumiza nyie aisee, haya Selikavu njoo unicheke π
View attachment 3430317
Card ya VVD ya kipuuzi tu, imenilia coins kiasi kwamba nikaona nikazitupe kwenye pack ya Koller π
Afu umepata nini?Kupoteza coins kunaumiza nyie aisee, haya Selikavu njoo unicheke π
View attachment 3430317
Card ya VVD ya kipuuzi tu, imenilia coins kiasi kwamba nikaona nikazitupe kwenye pack ya Koller π
Congratulations champion
Kwani si tulikubaliana bingwa tunamuombea ban ya masaa? π
Bingwa una piga Pass 200 uoni goal lilipo πΉπΉ
Thanks mkuuCongratulations champion
Natamani kutukana kila aina ya tusi hapa nilipo πDuh 1800 coins in the drainπ
Goli nalifuata taratibu sina haraka nalo πBingwa una piga Pass 200 uoni goal lilipo πΉπΉ
Sikuwepo kwenye hayo makubaliano ππ€Kwani si tulikubaliana bingwa tunamuombea ban ya masaa? π
Hongera mkuu.
Juzi nilkua natafuta iyo card ya Ronaldinho nika pigwa coins 900 nikaona nikaushe msi cheke πΉπΉKupoteza coins kunaumiza nyie aisee, haya Selikavu njoo unicheke π
View attachment 3430317
Card ya VVD ya kipuuzi tu, imenilia coins kiasi kwamba nikaona nikazitupe kwenye pack ya Koller π
Unataka nipate nini mkuu zaidi ya kubaki masikini tu, hata sijui nilikuwa nafikiria nini aisee πAfu umepata nini?
kama haujapata kitu, Si bora ungejaribu kesho kwa Ronaldo mana watakuwa wengi pale showtime players zaidi ya 10
Promoter aje tuwaite mods πSikuwepo kwenye hayo makubaliano ππ€
Utajiri wa coins niliokuwa nao hauwezi linganisha na hizo coins ulizopoteza πJuzi nilkua natafuta iyo card ya Ronaldinho nika pigwa coins 900 nikaona nikaushe msi cheke πΉπΉ