Kachawi chawi tuuππ
Unaweza nunua weweππMkuu hizo biti tu pad natolea wapi usiku huu hahahaha
Mkuu nimefikiria sana nimetaka kuandika BabaYaga lakini hapa wataona tu initial name KM πUsipoleta nitazidi kukubless mengine Mazuri kutokana na Initial zako πππsawaa Mr Kumaliza Maliza (KM)
Mkuu bado nilipo siwezi zipata kwasasa .....ngoja tupambane na vidole tu...Unaweza nunua weweππ
Mkuu man marking jau haipaswi kuwepo.Man marking hiyo ni tactics kama tactics nyingine πππ
Ila swala la smart assist Phase one nimeona Edo kissy alikula buyu kule chiniππ alikubali kishingo upande tuu ila tulijua kumkatili
Wewe wa add watu woteπππMkuu nimefikiria sana nimetaka kuandika BabaYaga lakini hapa wataona tu initial name KM π
Ila wakija leta matokeo yatumike majina ta huku.
Ratiba leo itatokaπMkuu bado nilipo siwezi zipata kwasasa .....ngoja tupambane na vidole tu...
Ratiba tupewe mapema mkuu na tujue mechi zinaanza muda gani kama ni saa 2-5usiku tujue
Ratiba kakaRatiba leo itatokaπ
Mechi mida hii ya saa nne mpka saa sita kamili ndo huwa zinachezwa...
Kwahiyo ikifika mida hii njoo umngojee opponent wako
Tayari nimetuma kwa Mjukuu na Corie, watag kisha wape initial name yangu huko.Wewe wa add watu woteπππ
Haupo mkuu.πΉinvite
Dah πCorrie de killer na Warld kuna kijana tapel kawatumia Request initial zake ni (KM) anatumia Initial kwa sababu jina lake linafahamika akiliweka hapa mama watotot wake atamjua kama anachepuka JF πππ
Kaka itatumwa baada ya fainali πππtukituma now italeta mkanganyikoRatiba kaka