eFootball Special Thread

next week mkuu...


Kuna ligi inaendelea humu mkuu...


Kuanzia saa nne nne kila siku unakuwa na match moja ya kucheza


Utaweza kuwepo next week tukuweke...
Niweke
next week mkuu...


Kuna ligi inaendelea humu mkuu...


Kuanzia saa nne nne kila siku unakuwa na match moja ya kucheza


Utaweza kuwepo next week tukuweke...
Niweke ( Mjukuu11
 
Razorblade, Good game. How did you feel now? πŸ˜‚πŸ’” View attachment 3428926Adams lazima akushuhulikie si ulisema juzi kakuotea.View attachment 3428928View attachment 3428927Narudi πŸ˜‚πŸ€žπŸ™Œ
Hakuna nilichofeel aisee yani naingia room tu mechi ya kwanza simu nayo inaita πŸ˜‚

Unalazimisha kumwambia lala upumzike usiku sasa lakini wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mechi ya pili nikaona bora nirelax tu nijipigie vipasi vyangu golini πŸ˜‚
 
Pasi zote kwa kipa nilimind ndo mana nikawasha full red na mimiπŸ˜‚
 
Umalaya tu πŸ˜‚πŸ˜‚.. mi sikuizi nikiingia game nazima hiyo laini ya mawasiliano sitaki kelele. Mtu unaongoza mechi ya muhimu goli 3 kwenda mbele afu unakatishwa tu πŸ˜‚πŸ’”View attachment 3428970
Tatizo ni simu 2 kaka kwahiyo nikiwa kwenye game ni rahisi mtu kujua maana umakini kwenye maongezi hupungua πŸ˜‚
 
Wakuu leo nimepata bahati ya epic kwenye daily login Riqui Puig nimemtrain awe LM lakini haijawa kijani kibichi kabisa kama ilivyo kwenye hizo nafasi zingine, naombeni msaada nifanyaje hapo?

Au niendelee kumtrain mpaka iwe kijani kibichi kama hizo nafasi zingine?



NEGAN Gilberto_ Mill broh

Selikavu nakuongeza tu kwenye list kwa sababu wewe ni CIA πŸ˜‚
 
Mwache hiyo slot one tumia slot 2 sasa mpk apate LMF

hIzo slot zote mbili inabid ziwe na LMF
 
Coin zako na hizo position training tutazidiscuss baadaeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…