Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Siogopi kaka ila angalia table ilivyo yani mimi nina point 6 halafu nikacheze play off wakati kuna watu wamefungana points na mmoja hana kabisa.Unaogopa playoff kijana๐
Simkimbii mtu mkuu ila kwa hali ya kawaida kimichezo huwezi nipanga kucheza play off wakati kuna mtu hana point kabisa na kuna watu wamefungana pointsMill broh hakimbiwi๐
Ukipita kama best loser wanabaki watatu playoff itachezwa ajeSiogopi kaka ila angalia tabke ilivyo yani mimi nina point 6 halafu nikacheze play off wakati kuna watu wamefungana points na mmoja hana kabisa.
Kwa table ilivyo play off inatakiwa iwe 1 tu hapo kwa hao waliofungana halafu Edo anatoka moja kwa mojaUkipita kama best loser wanabaki watatu playoff itachezwa aje
Nina point 6 unanichezesha play off na mtu anapoint 3 halafu mwenye point 3 acheze na ambaye hana point, haki haipo hapo ๐Selikavu hoja ipo hapa
Kaka league ina watu wachache itakayoanza jumatatu ndo itakuwa fair๐๐Mkuu hapo umezingua, nilitakiwa nipite kama best loser.
Hapo wa mwisho anatakiwa atoke moja kwa moja halafu wa 4 na 5 ndo wacheze play off, kunipanga nicheze play off hapo itakuwa siyo sawa.
Umevipiga vita sanaNjia yangu ilikua ngumu sana๐
Wewe chezesha ligi fair hapo hakuna cha Jumatatu, hii nakata rufaa kabisa ๐Kaka league ina watu wachache itakayoanza jumatatu ndo itakuwa fair๐๐
Anamkimbia Mill Broh Wakati imeandikwa lazima ukakabe back 5 plus full blue bars๐Unaogopa playoff kijana๐
Huyo najua nitakutana nae tu nusu ila kwa kuzingatia matokeo ya sasa haki itendeke ๐Anamkimbia Mill Broh Wakati imeandikwa lazima ukakabe back 5 plus full blue bars๐
Kwan kaka tulikubaliana kutakuwa na best loser๐๐Wewe chezesha ligi fair hapo hakuna cha Jumatatu, hii nakata rufaa kabisa ๐
Mkuu embu chukua hiyo table halafu mpe jirani yako aiangalie ๐Kwan kaka tulikubaliana kutakuwa na best loser๐๐
Mkuu mimi sijitetei hapa ila kchezesha play off katika ya Mr Devil mwenye point 3 na Edo mwenye 0 siyo sawa, kuchezesha play off kati yangu mwenye point 6 na Mill mwenye point 3 siyo sawa.Kivumbi leo ๐ Razorblade View attachment 3426574
๐๐๐Lakin si nilitoa mwongozo mapemaKwa table ilivyo play off inatakiwa iwe 1 tu hapo kwa hao waliofungana halafu Edo anatoka moja kwa moja
Yaani unachezeshaje play off ambayo kuna mtu hana point kabisa ๐
Cheza na mill bro kwanza alafu tutakuja tuzungumze๐๐๐Nina point 6 unanichezesha play off na mtu anapoint 3 halafu mwenye point 3 acheze na ambaye hana point, haki haipo hapo ๐