Hahaha jana nimeshenyentwa game mfululizo, Game ya mwisho ndio ilikuwa ya kunirudisha division 2 nilipigwa comeback nikaquit game ndio sijafungua mpaka leo na sina nguvu ya kufungua😅Kuna huyo mimi phase iliyopita nilifika mpaka 1949 nilifungwa kama game 6 mfululizo nikarudi 1800, konami hizo rank zina watu wao bana 😂😂💔
That's spirit mzee😃😃lazima kuwake leo😃😃UMEYAKANYAGA 😎🙌View attachment 3422065
Jamaa ana immovable wall ya 6 defenders😀Haha huyo ana beki ngumu kufunguka
Kwanza ni mechi ngapi?That's spirit mzee😃😃lazima kuwake leo😃😃
Kweli umeishiwa pawaHahaha jana nimeshenyentwa game mfululizo, Game ya mwisho ndio ilikuwa ya kunirudisha division 2 nilipigwa comeback nikaquit game ndio sijafungua mpaka leo na sina nguvu ya kufungua😅
Tatu tuu😃😃😃mkiona vibe limepanda muende mwisho upeo wa macho yenu😃😃Kwanza
Kwanza ni mechi ngapi?
Ni 3.Tatu tuu😃😃😃mkiona vibe limepanda muende mwisho upeo wa macho yenu😃😃
Me nilistak 1700 to 1750 siku mbili mfululizo 😃😃View attachment 3422082
Nimefika hapa aisee watu wanacheza utafikiri wameajiriwa, unashinda moja unapigwa mbili 😅, Nimeishiwa pawa
Script ya division. 1 ni nyoko😀Hata mimi sina nguvu hata ya kulifungua game lenyewe, sababu kubwa script kubabake
Itafahamika Room😃😃Ni 3.
Na saiv ni LBC 😃😃 hupiti Bila Hongo😃😃Haha huyo ana beki ngumu kufunguka
Script sio pow ni mwana ukome🤣🤣🤣Hata mimi sina nguvu hata ya kulifungua game lenyewe, sababu kubwa script kubabake
Kaka tuache ujuaji sisi wengine tukiishia division 1 inatosha, ujuaji unatuponza😅Kuna huyo mimi phase iliyopita nilifika mpaka 1949 nilifungwa kama game 6 mfululizo nikarudi 1800, konami hizo rank zina watu wao bana 😂😂💔
Six tena🤣🤣🤣Jamaa ana immovable wall ya 6 defenders😀
Haifai😃😃😃 Alafu wana kaujinga ka kukaza usifike level fulan mfano me kipind sijafika division 3 division 4 nilikuwa natoka jasho😃😃😃 wakatoka hapo wakahamia Div 2 nimekuja kufika kwa tabu sana baada ya happ naona wameweka kambi division one🤣🤣Script ya division. 1 ni nyoko😀
Umeshawasiliana nae? 😂(6.6.6) UWE MWANAMKE AU MWANAUME KARIBU JIUNGE NA FREE~MASON UMILIKI PESA, EPIC WA 110, MAJUMBA,MAGARI,BIASHARA NA TUKUINUE KIPAJI N.K.PIGA 0772695960
Familiya.Mwanangu sana
Haya bhana kazi njema 😂View attachment 3422048
Wakuu huyo CF no real au?
Edo kissy tayali kapata zake Epic wa 110🤣🤣🤣Umeshawasiliana nae? 😂