Dadeq halali Mimi alikimbia watu wanatishia😂🙌Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...
Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌
Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂
#KIWAKE. 😎
Hmm huyo striker umemtoa wapi tena mbona ushaanza kunipa mawazo niingie na beki ngapi 🙄View attachment 3422048
Wakuu huyo CF no real au?
Kiwake🤣🤣🤣Edo kissy nimepokea simu kutoka kwa promoter wa mapambano humu JF Mr. Selikavu , nasikia unataka leo pambano liwe live Azam Sports 2 HD saa 4 kamili usiku...
Napenda kuutaarifu umma nitakuwepo na nitahakikisha mashabiki zangu wanafurahi 📌
Nenda training kwanzia muda huu umepewa muda mwingi sana wa kujiandaa mkuu, mimi ndo nimeshtukizwa ila nitaingia uwanjani 😂
NEGAN Mill broh , Razorblade na wengine wengi humu, mjitokeze 😂😎
#KIWAKE. 😎
Haha huyo ana beki ngumu kufungukaWakiuu kufika division 1 AI kumefanya nipoteze purpose mzuka na game. Sasa hivi sina cha kufanya. Purpose mpya itakua kuifungua defence set up ya @selikavu😀.(joking)
Napiga friendly tu sasa hivi
Hata mimi sina nguvu hata ya kulifungua game lenyewe, sababu kubwa script kubabakeWakiuu kufika division 1 AI kumefanya nipoteze purpose mzuka na game. Sasa hivi sina cha kufanya. Purpose mpya itakua kuifungua defence set up ya @selikavu😀.(joking)
Napiga friendly tu sasa hivi
Kwani kaka, hadi kule Quick Matches wanakufanyia script? 😂Hata mimi sina nguvu hata ya kulifungua game lenyewe, sababu kubwa script kubabake
Sadly nadhan nitakuwa offline kwa muda maana tambo langu limenizingua leo mchana (Storage issues)Wakiuu kufika division 1 AI kumefanya nipoteze purpose mzuka na game. Sasa hivi sina cha kufanya. Purpose mpya itakua kuifungua defence set up ya @selikavu😀.(joking)
Napiga friendly tu sasa hivi
Kwani kaka, hadi kule Quick Matches wanakufanyia script? 😂
Kuna huyo mimi phase iliyopita nilifika mpaka 1949 nilifungwa kama game 6 mfululizo nikarudi 1800, konami hizo rank zina watu wao bana 😂😂💔View attachment 3422082
Nimefika hapa aisee watu wanacheza utafikiri wameajiriwa, unashinda moja unapigwa mbili 😅, Nimeishiwa pawa
Adriano the phenomenalDadeq halali Mimi alikimbia watu wanatishia😂🙌
Anyways siendi kutrain nitamchosha Adriano na beki wetu mfupi🤣
Umemuoa kwanza ni master of Kungfuu🤣🤣magoli yanapigwa kishaolin🤣🤣Hmm huyo striker umemtoa wapi tena mbona ushaanza kunipa mawazo niingie na beki ngapi 🙄
Ataniulia Kahn wangu 🙌😂Umemuoa kwanza ni master of Kungfuu🤣🤣magoli yanapigwa kishaolin🤣🤣