Kwanza ni uongo tu huo, Mi nilishajaribu ikagoma, nilikuwa nimechapwa 2.0..Wakuu nitoe ushauri tu. Juzi niliona mnafundishana trick ya ku shinda match kwa kuzima data. Hiyo ni cheating na ikatokea wapinzani wako waki report halafu KONAMI wakafatilia ni straight ban. Tucheze fair tu wakuu.
Watu mna mbinu hii sikuwahi sikiaπKuna hii nyingine, kama ukicheza game j5 kwenye division PvP alafu ukawa umefungwa na hautaki upunguzwe points, before final whistle ukitoka kwenye game na usiporudi tena mpaka alhamisi baada ya update ukirudi kwenye game utakuta points zako zipo pale pale.. na ile mechi ipo sema haupunguzwi points.
π ingekkua hatari iyoBora hivyo sio yako
Account ya japan tu imeni tia uvivu kuifikisha 3000 nme achana nayoBora hivyo maana kuanza kutengeneza upya kikosi ni kazi kubwa aisee.
Watu wana download vikosi wanazani wako dslAu na wewe ndo VPN za Japan zimekuponza π
Kajaribu πWatu mna mbinu hii sikuwahi sikiaπ
Leo sabatho πKajaribu π
Yan nisicheze game siku nzima kisa points huyu hawezi kuwa mimiππ€£π€£Kuna hii nyingine, kama ukicheza game j5 kwenye division PvP alafu ukawa umefungwa na hautaki upunguzwe points, before final whistle ukitoka kwenye game na usiporudi tena mpaka alhamisi baada ya update ukirudi kwenye game utakuta points zako zipo pale pale.. na ile mechi ipo sema haupunguzwi points.
Sa si unacheza usiku, ukifungwa unalala πYan nisicheze game siku nzima kisa points huyu hawezi kuwa mimiππ€£π€£
Promoter mbona hichi kitu ndo nakiona saivi, kuna nini kwani πUsiku wa deni haukawii kukucha
Mtoto hatumwi dukaniπ«΅π«΅π«΅
Ni leo Black ball legendary battle βπ₯View attachment 3420276
Nikifungwa ndo huwa napata mzuka sasaSa si unacheza usiku, ukifungwa unalala π
Kaka nilikuwa sipo online kama siku ngapi hiviπππPromoter mbona hichi kitu ndo nakiona saivi, kuna nini kwani π
Oya leo kitatawaka πUsiku wa deni haukawii kukucha
Mtoto hatumwi dukaniπ«΅π«΅π«΅
Ni leo Black ball legendary battle βπ₯View attachment 3420276
πππUshauli, nipangeje kikosi na nitumie formation gani maana kila siku vipigo tu kila kona View attachment 3420310View attachment 3420311View attachment 3420312
Ngoja nijalibu hivyoπππ
Huyu Martinez inabid ucheze na strikers wengi mbele maana wachezaji wanakaa sana Nyuma tofauti na Quick Counter wanafika mbele chap
Badilisha formation cheza na mastriker wa tatu mweke Nakata kama Second striker then hapo kiungo DMF mweke Makelele CMF mweke Gerrard na Pedri
Instructions wape defensive mafull backs wako Trend na Camavinga alafu Makelele mpe Deepline
Weka hiviNgoja nijalibu hivyo