eFootball Special Thread

Me si huwa najipigia tuu😃😃😃

Ukutane na wale shuti mkakati🤣🤣
Na ndo kitu ambacho huwa sipendi nikienda room na wewe, kuna muda unakuwa kama noob 😂

Leo nimeamua kusema tu, kweli me napenda tuwe tunacheza mpira mkakati tunafungana lakini tumeburudika 😂

Kuna zile pasi zako fupifupi huwa nafurahi sana, zinanipa ladha ya game 😂

Ila kuna watu wanajali magoli tu ndo furaha yao 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…