eFootball Special Thread

Razorblade kijana mtafuta madestoyer๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒnikutajie mwingine alipo pale kwa akina Kimmich wa Nominating Contract... joao Palinha ni namba 6 alafu Destroyer ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒsema anafika 98 ila ni mrefu kwel kwel

Pia ile card ya kimmich pale ni nzuri kaka usiiache๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒijaribu siku moja na Anchorman wako Rodri utakuja kuniambia๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Hanifai nina Dayot ๐Ÿ˜‚

Kimmich niliyenae anatosha na yupo reserve huko ๐Ÿ˜‚
 
Sitaki kujaza kikosi kwa vitu visivyoeleweka ๐Ÿ˜‚

Sema konami wajanja sana sasa kumuweka Akanji kule kwenye match pass ndo maana yake nini? ๐Ÿ˜‚
Mchukue๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒthen utafanya Fusion ya Kimmich wa capten kubasi๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Ndo inasaidia nini kwanza?
Badala ya kumfanyia mchezaji level training unahamisha zile progression point za training pamoja na skills kama ulimtrain kwa mchezaji mpya alafu huyo wa Zaman anakuwa released


Kufanya unachagua mchezaji unayetaka apokeee(Mpya) then unabonyeza fusion watakuletea list ya wachezaji unachagua yule anayetaka kutoka
 
Nishaijua, hii si ndo ile aliyetuelekeza NEGAN kipindi kile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ