Ai itakuja ikuueNipe chap mkuu, ChatGpt amenipa ratiba ya mazoezi kwahiyo nataka niingie training kabla hakujakucha ๐
Aweee๐๐๐nipo busy mno na game hata muda huo sina nishapigwa kibuti mapema tuu๐๐Nikajua ndo tayari kichwa umelaza kwenye mapaja ๐
Poa mkuu ila kwangu imegoma nahisi ni kwa sababu ya kocha.Ai itakuja ikuueView attachment 3409475
Oya mida bhana tusiwafanyie fujo wanaopenzika muda huu ๐Aweee๐๐๐nipo busy mno na game hata muda huo sina nishapigwa kibuti mapema tuu๐๐
Amegoma kufika mia??Poa mkuu ila kwangu imegoma nahisi ni kwa sababh ya kocha.
Aina nomaOya mida bhana tusiwafanyie fujo wanaopenzika muda huu ๐
Speed kufika 88.Amegoma kufika mia??
Amna ukishaweka pale kwenye Progression point itasoma 85 ukija kwenye game plan huku ndo itasoma 88Speed kufika 88.
Hazisogei hizo progression, muhimu nimepata destroyer meingine.Amna ukishaweka pale kwenye Progression point itasoma 85 ukija kwenye game plan huku ndo itasoma 88
Hanifai nina Dayot ๐Razorblade kijana mtafuta madestoyer๐๐๐nikutajie mwingine alipo pale kwa akina Kimmich wa Nominating Contract... joao Palinha ni namba 6 alafu Destroyer ๐๐sema anafika 98 ila ni mrefu kwel kwel
Pia ile card ya kimmich pale ni nzuri kaka usiiache๐๐ijaribu siku moja na Anchorman wako Rodri utakuja kuniambia๐๐
Sawaaa๐๐๐Hazisogei hizo progression, muhimu nimepata destroyer meingine.
Ile card ya kimmich wa German mzee achana na hiyo ya capten kubas๐๐๐Hanifai nina Dayot ๐
Kimmich niliyenae anatosha na yupo reserve huko ๐
Sitaki kujaza kikosi kwa vitu visivyoeleweka ๐Ile card ya kimmich wa German mzee achana na hiyo ya capten kubas๐๐๐
Alafu huyo Joao Palinha wa pale ni namba sita (DMF)
Mchukue๐๐then utafanya Fusion ya Kimmich wa capten kubasi๐๐Sitaki kujaza kikosi kwa vitu visivyoeleweka ๐
Sema konami wajanja sana sasa kumuweka Akanji kule kwenye match pass ndo maana yake nini? ๐
Hayo ya fusion sielewagi aisee.Mchukue๐๐then utafanya Fusion ya Kimmich wa capten kubasi๐๐
Ndo ujaribu sasaHayo ya fusion sielewagi aisee.
Ndo inasaidia nini kwanza?Ndo ujaribu sasa
Badala ya kumfanyia mchezaji level training unahamisha zile progression point za training pamoja na skills kama ulimtrain kwa mchezaji mpya alafu huyo wa Zaman anakuwa releasedNdo inasaidia nini kwanza?
Nishaijua, hii si ndo ile aliyetuelekeza NEGAN kipindi kile?Badala ya kumfanyia mchezaji level training unahamisha zile progression point za training pamoja na skills kama ulimtrain kwa mchezaji mpya alafu huyo wa Zaman anakuwa released
Kufanya unachagua mchezaji unayetaka apokeee(Mpya) then unabonyeza fusion watakuletea list ya wachezaji unachagua yule anayetaka kutoka