eFootball Special Thread

Ukifika rating 1650 AI wanafanya vitu ambavyo hata Physics yenyewe inashangaa๐Ÿ˜€. Nimebadili formation zaidi ya mara 7 ila pumzi ilikua ya moto. Back 5 ndio imenivusha.
Huwa nasema hawa Ai huwa ni wafanyakazi wa konami wanabadilishana kucheza na sisi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sidhani kama huu uhuni Konami wataleta, hakuna atakayemuacha Bale(Blitz Curler) ๐Ÿ˜‚
 
Card ya Akanji kwangu haipo mkuu, huenda yupo kwenye nchi nyingine.

Nilikuwa namtaka sana tu.
We ipo kote kwenye matchpass pale sema ndo mia nane๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒkama ulishawai nunua mchezaji kwenye match pass ksma bado atakuwa mia nne..


Utaniambia nikupe setting za speed anafika 88


Nenda kwenye mission pale then chagua match pass nadhan ni ya pili
 
Anhaa! Nilikuwa sijakuelewa bado, nimekuelewa sasa nitapita nae usiku ๐Ÿ˜‚

Napita nae na coins zitaendelea kubaki 1000+ ๐Ÿ˜‚
 
Anhaa! Nilikuwa sijakuelewa bado, nimekuelewa sasa nitapita nae usiku ๐Ÿ˜‚

Napita nae na coins zitaendelea kubaki 1000+ ๐Ÿ˜‚
Mchukue na Maigan kabisa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒcoin zi wanakuludishia kama 180 hivi๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ