Pole sanaKonami mambo gani tena haya, Ushindi tunapata kwa tabu huku kila mtu anakamia show😡
View attachment 3401086View attachment 3401087
Kuna jamaa alitoa ila hazikuwa na faida kwangu, yote kwa yote Batigoal ni yuleyule na ukandaji ni uleule.Ukimpata mtu anaye wa 105 mwombe
Wamenionyesha dharau kubwa sana 😂Mbangula tena🤣🤣🤣
Hiyo unyama sana we huoni watu wanalialia kwanini hawakumchukua Gesperin maana kupata kocha mwenye hizo playstyle zote(QC na LBC) kwa wakati mmoja ni uongo.Kikubwa nimeshinda tena hii LBC naona kama ina kitu
Panga siku tukacheze LBC iwe LBC dayHiyo unyama sana we huoni watu wanalialia kwanini hawakumchukua Gesperin maana kupata kocha mwenye hizo playstyle zote(QC na LBC) kwa wakati mmoja ni uongo.
Ukizingatia ndiyo playstyle zenye hatari na pendwa kwenye game kwa sasa.
Poa, nikimaliza hizi events ntakupangaPanga siku tukacheze LBC iwe LBC day
Aina nomaPoa, nikimaliza hizi events ntakupanga
Nimeshajua nacheza LBC 😃😃😃 na nimelud kucheza division siwaogopi wa smart assist tena😃😃😃First ujue unacheza LBC then formation sio shida
Ebu nikunong'onezeThis time kama mambo hayatonibana nitatoka na badge ya division one
Kazi imeanza
View attachment 3401668
Nishaspine kama mia mbili pale hola🤣🤣Ebu nikunong'oneze
Hizo coin ka spin utampata Pele😂🙌
Twende kwanza nikatest kama nimemaster🤣🤣Safiri mkuu😂🙌 mwendo wa long ball tu🙌
Mkuu kuna mtu anatumia Alonso lakini Batigoal kafika 105.Kocha wa double booster Sina mkuu
Kijana jitahidi uwe na coins za kutosha bhana 😂This time kama mambo hayatonibana nitatoka na badge ya division one
Kazi imeanza
View attachment 3401668
Unamfundisha mchezo mchafu 😂Ebu nikunong'oneze
Hizo coin ka spin utampata Pele😂🙌
Nenda tena 😂Nishaspine kama mia mbili pale hola🤣🤣