Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?nime achana na dvn asee watu wana tembea na smart assist hatari๐น๐น
KabisaKama Kuna namna ya kufanya campaign itolewe Division tufanye tuu
Only way ya kupumzika ni kulifuta na upate kitu cha kureplace, Lakini kama lipo kwenye simu sahau, Niulize mimi๐Kabisa
Mimi napumzika kucheza hili game
sasa. Ni kama unacheza na watu wawili.
Dah KONAMI watatuuq๐Only way ya kupumzika ni kulifuta na upate kitu cha kureplace, Lakini kama lipo kwenye simu sahau, Niulize mimi๐
Alibakiza point chache sana angekomaa leo angetoka na Badge ya division 1Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?
Kabisa yan๐๐๐ mtu anafanya dribble kama pro vile kumbe smart assist ๐๐๐Kabisa
Mimi napumzika kucheza hili game
sasa. Ni kama unacheza na watu wawili.
๐นjana nime kandwa sana asee nime shuka hadi 1660 saiv ,ilkua napanda hadi 1770 then nashuka tena hadi nikachoka.Umefikia wapi sahizi mkuu, Mbona ulibakisha points chache sana to division 1?
๐น๐นwatu wana kimbizana na deadline asee , season ya kesho kutwa tapanda nalo tenaAlibakiza point chache sana angekomaa leo angetoka na Badge ya division 1
Bila kuchoka ๐Ubaya ubwela๐
Huyo mwamba kakimbia hata kipindi cha kwanza hakijaisha, chuma 3 kaona isiwe tabu ๐Hasa akiwa na wachezqji wenye nguvu kubwa kukuzidi
Hapo kwa haraka haraka sio chini ya 300
Ukisikka paah... ๐Hapo kwa haraka haraka sio chini ya 300
Si wenye account yenye gundu tunaendelea tulipoishia
kesho hiyo
View attachment 3399445
Huwa unabahati mkuu unaweza okota hata 10/20 ๐
Familiya kabisa ๐๐๐๐ Konami si wajomba