eFootball Special Thread

Sema hapo disadvantage mara nyingi wale naturally CB hawanaga stamina ya kutosha kwahiyo ukimuweka upande Lb na Rb na CB yale atachoka mapema dakika ya 60 unakuta stamina Low
Wahuni wana hack adi e football ,kama dsl tulikua tuna jaza coins 😹😹
 
Ivi Unafungwaje na kikosi ina Etoo ndani na Suarez wa 107 useless kabisa...
Kuna jamas nilikutana nae ana Messi blitz curl nikasema hapa nitakula nyingi nikamuwekea man marking πŸ˜‚ ila alipata goli 1 huyohuyo Messi.

Mwingine nae ndo nilimuona mjinga yaani dvn halafu anataka kumjaribu Yamal blitz curl nikaona isiwe tabu nikamuekea man markin nae, mechi ikaisha nyau nyau πŸ˜‚
 
Kuna ndugu yangu nilikuwa nacheza nae game ila namba yake sikuwa nayo, alinipiga game 3 mfululizo.

Nilikuwa nimehotspot kufanya transition kwangu ilikuwa slow ila kwenye game jamaa yuko vizuri.

Moja kati ya mechi mbili za mwisho akaandika jina la team Razorblade mtumie Batistuta, ikabidi nifanyie kazi ujumbe japo hii mechi pia alinifunga ila Batigoal alizama wavuni.

Mechi ya mwisho akabadirisha tena jina akaandika Hii ya mwisho nikaona hii fedheha sasa mechi zote nifungwe πŸ˜‚

Bahati haikuwa upande wake nikampiga 5-2, Batigoal akipiga 3 peke yake πŸ˜‚

NB: Smart assist jamaa anajua kuitumia maana nilikuwa nafungwa magoli hadi huruma πŸ˜‚
 
Ila Smart assist inakua ngumu ku intercept maana wewe unakua una kaba kichwa kichwa uku yeye inaenda tu 😹
 
What a wastage πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ila Smart assist inakua ngumu ku intercept maana wewe unakua una kaba kichwa kichwa uku yeye inaenda tu 😹
Mtu anatumia smart assist halafu mie nyuma kuna back 3 na mbele kuna 3 strikers, ilikuwa piga nikupige ila alinizidi kwa sababu ya hostspot na smart assist πŸ˜‚
 
What a wastage πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Huyu jamaa wa pili ndo alinitia hasira sana yani yeye akipata mpira tu anampasia Yamal hatakama akiwa katikati atafanya dribling mpaka karibia na box πŸ˜‚

Kafanya hiyo michezo mwisho nikashindwa kumvumulia nikamuwekea ultra defensive na man marking πŸ˜‚
 
Ultra Defensive na Man marking unataka afungaje sasaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ultra Defensive na Man marking unataka afungaje sasaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Jamaa alileta dharau sana sijui kwakuwa aliona kikosi kidogo, ujasiri wa kufanya dribling karibu nusu nzima ya uwanja ni dharau kubwa πŸ˜‚

Sikusubiri hata half time, majaribio yake akafanyie kwa wengine πŸ˜‚
 
Jamaa alileta dharau sana sijui kwakuwa aliona kikosi kidogo, ujasiri wa kufanya dribling karibu nusu nzima ya uwanja ni dharau kubwa πŸ˜‚

Sikusubiri hata half time, majaribio yake akafanyie kwa wengine πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣 Ulikata unyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…