πππ Labda nimtoe Deepline ππNiliangalia vibaya, hata hivyo umejitahidi.
Akifikisha mechi 100 huenda akawa na 2+ π
Sidhani kama hata ukimtoa atatembea sana kwenda juu.πππ Labda nimtoe Deepline ππ
Magoli yake ni wakati wa konaSidhani kama hata ukimtoa atatembea sana kwenda juu.
Kuna wakati nilikuwa nataka nimchezeshe mbele ili ashinde tu π
Ndo hilo 1 aloshinda kwangu sasa.Magoli yake ni wakati wa kona
Kwenye Ai atakuwa anacheza CMF sasaππNdo hilo 1 aloshinda kwangu sasa.
Huyo hata ukimuweka CMF bado itakuwa yaleyale tu maana akili yake ni kukaba tu kwa sana πKwenye Ai atakuwa anacheza CMF sasaππ
Kdg atakuwa anasogeaHuyo hata ukimuweka CMF bado itakuwa yaleyale tu maana akili yake ni kukaba tu kwa sana π
Ivi Unafungwaje na kikosi ina Etoo ndani na Suarez wa 107 useless kabisa...Hichi kikosi
π
View attachment 3393781
Kimepata ushindi dhidi ya hichi kikosi
π
View attachment 3393783
View attachment 3393784
View attachment 3393786
Jamaa nilimuwashia smart assist pamoja na ultra defensive halafu likapigwa haram football π
Kawekaje CB wanne huyu jamaa πππJamaa nime mkanda na li kikosi lake View attachment 3394278View attachment 3394279View attachment 3394280
NEGAN mkuu hii CB ya wanne unawekaje??Jamaa nime mkanda na li kikosi lake View attachment 3394278View attachment 3394279View attachment 3394280
Haijawai kubali kakaππCB mwisho ni watatu tuuπ π ata sijui lbs kwenye mtch an badiili ,io ni game plan yake
Kwenye CF cikuona niliona sehemu yangu pendwa tuu ya CBHacker huyo. Kawaida haiwezekani kuweka CB 4 wala CF watatu
Master Anceloti ukaona mabeki tu πKwenye CF cikuona niliona sehemu yangu pendwa tuu ya CB
Nilienda kujaribu tena maana haijawai kubaliπππnikahisi labda wameleta hii
Mfumo wangu unahitaji striker wawili tuu kuna kipind nilijaribu kucheza na watatu nokashindwaπππMaster Anceloti ukaona mabeki tu π
CB wa 4 haikubali. Halafu KONAMI wakigundua umeweka 4 CB na 3CF unakula ban
Hacker huyo. Kawaida haiwezekani kuweka CB 4 wala CF watatu
Kabadili lakini bado CB na CF zipo πΉπΉKwenye CF cikuona niliona sehemu yangu pendwa tuu ya CB
Nilienda kujaribu tena maana haijawai kubaliπππnikahisi labda wameleta hii
Sema hapo disadvantage mara nyingi wale naturally CB hawanaga stamina ya kutosha kwahiyo ukimuweka upande Lb na Rb na CB yale atachoka mapema dakika ya 60 unakuta stamina LowKabadili lakini bado CB na CF zipo πΉπΉView attachment 3394666