eFootball Special Thread

Kwenye CF cikuona niliona sehemu yangu pendwa tuu ya CB


Nilienda kujaribu tena maana haijawai kubaliπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒnikahisi labda wameleta hii
Master Anceloti ukaona mabeki tu πŸ˜€

CB wa 4 haikubali. Halafu KONAMI wakigundua umeweka 4 CB na 3CF unakula ban
 
Master Anceloti ukaona mabeki tu πŸ˜€

CB wa 4 haikubali. Halafu KONAMI wakigundua umeweka 4 CB na 3CF unakula ban
Mfumo wangu unahitaji striker wawili tuu kuna kipind nilijaribu kucheza na watatu nokashindwaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ



Sasa mpaka wajue si umekuwa reportedπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…