eFootball Special Thread

Solution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.

Kaa na mali shambulia kwa mipango. Lakini pia press kwa timing kwenye mipira 50/50 tu muda mwingine tumia match up. Usiwape chance kabisa ya kupiga shuti goliniView attachment 3387053.
Mkuu sijui akili yangu inakuwa wapi maana karibia mara zote walizonifunga ni wanafanya comeback.
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒSasa me nataka hawa hawa ndo nitatumia

Wachezaji ambao wana speed plus Stamina ya kutosha na physical contact ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Ila we fala unajua kuvizia kah๐Ÿ˜ƒ. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter๐Ÿ˜ƒ. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mbele๐Ÿ˜ƒ
 
Ila we fala unajua kuvizia kah๐Ÿ˜ƒ. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter๐Ÿ˜ƒ. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mnele๐Ÿ˜ƒ
Na pale nina kocha wa Possession Game Luis Roman sichezi Quick counter kule๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ


Beki nilipata Wan Bissaka ni Defensive ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ yule Lorenzo namchezesha CB kule pemben kwahiyo kupanda hapo sio leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ