Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Mkuu sijui akili yangu inakuwa wapi maana karibia mara zote walizonifunga ni wanafanya comeback.Solution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.
Kaa na mali shambulia kwa mipango. Lakini pia press kwa timing kwenye mipira 50/50 tu muda mwingine tumia match up. Usiwape chance kabisa ya kupiga shuti goliniView attachment 3387053.
๐ sasa forteit hukuiona au ndo kukaza vidole?Yaliyotokea leo Room moja niliyoingia....
Kikosi changu pendwa kwa sasa๐View attachment 3387278
Kikosi cha jamaaView attachment 3387282
Matokeo View attachment 3387285
Na ilibaki kdg nifungwe la Kumi Kayoko akasema inatosha ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Huyu Etoo mna uhakika anakabika??
Baadae naenda tena na jamaa kwa kikosi hiki hiki nitaleta mrejesho๐๐
Aliamua kuleta masihara kwenye kazi za watu ๐Kaka ina maana simu yako haina flight mode๐ฌโ ๏ธ
Nice game ๐14051056
Balaa tupu, ila nitawabonda tu ๐Razorblade ndo unategemea kuwafunga hawa kaka ๐๐
View: https://youtube.com/shorts/FhOoxkUmS18?si=CIzkySn_M7RjaxwP
Mwaka gan huo mkuu??eFootball nimewahi download na kulifuta mara 2 na nilikua nimeanza kulicheza kabisa ila kila muda likawa linanitaka nifollow tutorial na kudownload missing files nikaona halina utofauti na call of duty tu nikaachana nalo.
Kheeh ๐คฃ๐คฃ๐Mtu ana kimbia hadi ana lipita goal ๐นView attachment 3387459
Unakizungumziaje kikosi changu cha Mchongo mkuu๐nipe comment pa kuboreshaNice game ๐
Komaa me division sina vibe nako๐๐Ngoja niendelee nione
Me siwezi toka mzee nakomaa mpaka dakika ya mwishk๐๐๐Selikavu mvumilivu sana. Me siwezi kiukweli mwisho tano
Kikosi kime click umesha imaster formation cha msingi wachezaji wazuri๐Unakizungumziaje kikosi changu cha Mchongo mkuu๐nipe comment pa kuboresha
Amna kaza tuu unapat kitu๐๐๐ ๐ nyingi sana izo nikiona amna dalili ya comeback nasepa
๐๐Sasa me nataka hawa hawa ndo nitatumiaKikosi kime click umesha imaster formation cha msingi wachezaji wazuri๐
Ungecheza nao uwazoee kwanza๐๐Kipengele kipo kwenye legends hiyo top player na superstar zote niliweka AI controlled.
Ila we fala unajua kuvizia kah๐. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter๐. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mbele๐๐๐Sasa me nataka hawa hawa ndo nitatumia
Wachezaji ambao wana speed plus Stamina ya kutosha na physical contact ๐๐
Kila la kheri kaka๐๐utaleta mrejesho hapaNamie ndo nataka niingie muda huu.
Na pale nina kocha wa Possession Game Luis Roman sichezi Quick counter kule๐๐๐Ila we fala unajua kuvizia kah๐. Mechi yote mtu anacheza amebana mbupu anaogopa counter๐. Next time inabidi nisicheze na winga maana beki zako hazipandi kabisa mnele๐
Sijawai tumia kwangu ๐๐๐๐ sasa forteit hukuiona au ndo kukaza vidole?
๐๐๐Yeye mwenyewe kasema tuludi tena kesho ๐๐ata kama kanifuna nimemsumbua๐๐Aliamua kuleta masihara kwenye kazi za watu ๐
Hao jamaa wasumbufu kaba sana hao maana si wanacheza Out wideBalaa tupu, ila nitawabonda tu ๐