Amna kama una badge ua division 2 unaludishwa division 4View attachment 3387432
Nimeona wadau msha gonga div 1 nikasema leo niipe mda DVN ila kwa mwendo wa point zinavyo panda naona kabsa na hii phase tarudishwa div 6 ukoo kama kawaida 😹
Phase ya kwako hii 😬View attachment 3387432
Nimeona wadau msha gonga div 1 nikasema leo niipe mda DVN ila kwa mwendo wa point zinavyo panda naona kabsa na hii phase tarudishwa div 6 ukoo kama kawaida 😹
Selikavu mvumilivu sana. Me siwezi kiukweli mwisho tano😹😹oyaaa dadeki nazima data namwachie jamaa 3-0 yake ukoo
eFootball linasave sana data. Buku tatu unamaliza kila kitu.eFootball nimewahi download na kulifuta mara 2 na nilikua nimeanza kulicheza kabisa ila kila muda likawa linanitaka nifollow tutorial na kudownload missing files nikaona halina utofauti na call of duty tu nikaachana nalo.
Call of duty nilikua nalicheza kwenye unlimited internet ya voda ila bado lilinishinda nadhani kwenye 10Gbs huko.eFootball linasave sana data. Buku tatu unamaliza kila kitu.
Call of duty sijuhi PUGB sitaki hata kuyasikia yanafika gb 30😬
Unamp moyo sioPhase ya kwako hii 😬
Sawaaa natumaTuma code akaunt yako nyingine sina
EehPhase ya kwako hii 😬
Ngoja niendelee nioneAmna kama una badge ua division 2 unaludishwa division 4
😅😅nyingi sana izo nikiona amna dalili ya comeback nasepaSelikavu mvumilivu sana. Me siwezi kiukweli mwisho tano
Huyo kipa ndo kikwazo kikubwa aisee.hahaha mimi niliwafunga mkuu....nilibadilisha formation mara 3..
Ukifunga rudi back 5 ....nafikiri pia Oliver Khan anawaokoa sana maana nimekosa clear chance 4 nikabahatisha 1 ndo nikapita nayo....
Jamaa wako haraka sana kureact, kila nikiongoza wanachomoa halafu wanaongeza 😂Jamaa wana bonda😹😹
Kipengele kipo kwenye legends hiyo top player na superstar zote niliweka AI controlled.Nilikuwa nacheza nipo kwenye hiace nalud home nikawafunga top player bila shida, wakaja Superstar nikwafunga legends wakanigonga hamsa nikasema okay acha kwanza nifike home kichwa umetulia ndo nitacheza nao
Namie ndo nataka niingie muda huu.Leo saa nne usiku nitakuwa na Darasa la kuwafunga Legends 🤣🤣 Razorblade usikose nitakuwa mubashara muda huo nikupe maujuzi😃😃View attachment 3386984
Kikosi dakika 90 zote formation mojaView attachment 3386985
Achaneni na coin zangu🤣🤣🤣angalien Badge
View attachment 3386986
Sema siri ni kukaba mzee hasa Beckham na Roberto Carlos wasipige cross wala kukupita