Solution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu 😂
View attachment 3386572
Kama Adriano akipiga tu imoSolution ni kuwapelekea moto mimi nimewafunga mara moja tu.
Kaa na mali shambulia kwa mipango. Lakini pia press kwa timing kwenye mipira 50/50 tu muda mwingine tumia match up. Usiwape chance kabisa ya kupiga shuti goliniView attachment 3387053.
Kaka ina maana simu yako haina flight mode😬☠️Yaliyotokea leo Room moja niliyoingia....
Kikosi changu pendwa kwa sasa😃View attachment 3387278
Kikosi cha jamaaView attachment 3387282
Matokeo View attachment 3387285
Na ilibaki kdg nifungwe la Kumi Kayoko akasema inatosha 🤣🤣🤣🤣
Huyu Etoo mna uhakika anakabika??
Amna ni Friend match kaka🤣😃😃Kaka ina maana simu yako haina flight mode😬☠️
Mkuu GP unapataje pataje aiseh? Hongera sanaLeo saa nne usiku nitakuwa na Darasa la kuwafunga Legends 🤣🤣 Razorblade usikose nitakuwa mubashara muda huo nikupe maujuzi😃😃View attachment 3386984
Kikosi dakika 90 zote formation mojaView attachment 3386985
Achaneni na coin zangu🤣🤣🤣angalien Badge
View attachment 3386986
Sema siri ni kukaba mzee hasa Beckham na Roberto Carlos wasipige cross wala kukupita
Amna ni Friend match kaka🤣😃😃
Alafu sijawai Kimbia mechi hata iwaje....
Ukifungwa kubali
Japo kuna magoli kama matatu hapo nilipigiwa simu ikalag
Shuti 10 goli 9 😃. Kipa wake kamuokoa maana dizaini mechi ili balance maana na wewe umepiga on target 9Yaliyotokea leo Room moja niliyoingia....
Kikosi changu pendwa kwa sasa😃View attachment 3387278
Kikosi cha jamaaView attachment 3387282
Matokeo View attachment 3387285
Na ilibaki kdg nifungwe la Kumi Kayoko akasema inatosha 🤣🤣🤣🤣
Huyu Etoo mna uhakika anakabika??
Baadae naenda tena na jamaa kwa kikosi hiki hiki nitaleta mrejesho😃😃
Mkuu hizo ni chache sana watu wana million 13 humu ndani😃😃😃hazinaga kazi atleast siku hizi unaweza nunua booster ma skills ndo kidogo zimeanza kutumikaM
Mkuu GP unapataje pataje aiseh? Hongera sana
Huyo Etoo hapana akipiga tuu imo...🤣🤣🤣Shuti 10 goli 9 😃. Kipa wake kamuokoa maana dizaini mechi ili balance maana na wewe umepiga on target 9
Mkuu katika watu tunacheza defensive humu ndani na mimi nipo sifunguki 😃😃😃hicho kikosi nilizidiwa kila sehemu😃😃😃Hongera mkuu kwa uzalendo...sema inaonekana unafunguka sana mkuu.....
Pole mkuu .... Kuna wana wanajiweza sana ...hahahaha Kuna yule alinifunga 4 nikimisplace pass na golikipa hafungi anaanza build up kwa kurudisha mpira nyuma hahaha.Mkuu katika watu tunacheza defensive humu ndani na mimi nipo sifunguki 😃😃😃hicho kikosi nilizidiwa kila sehemu😃😃😃
Naona tulipishana😃Tupige 2
😹😹oyaaa dadeki nazima data namwachie jamaa 3-0 yake ukooYaliyotokea leo Room moja niliyoingia....
Kikosi changu pendwa kwa sasa😃View attachment 3387278
Kikosi cha jamaaView attachment 3387282
Matokeo View attachment 3387285
Na ilibaki kdg nifungwe la Kumi Kayoko akasema inatosha 🤣🤣🤣🤣
Huyu Etoo mna uhakika anakabika??
Baadae naenda tena na jamaa kwa kikosi hiki hiki nitaleta mrejesho😃😃
😃😃😃Huyo ana hurumaPole mkuu .... Kuna wana wanajiweza sana ...hahahaha Kuna yule alinifunga 4 nikimisplace pass na golikipa hafungi anaanza build up kwa kurudisha mpira nyuma hahaha.