Pole....Oya wakuu nimesahau kupiga fake shoot bhana njooni mnikumbushe π
Mimi nishasema aje full mkoko hiyo ni derby tutauwana
Derby yako ni Mill Brohπ€£π€£π€£Mimi nishasema aje full mkoko hiyo ni derby tutauwana π
Shukran sana.Pole....
Ukipiga shoot si unapiga na Direction....
Sasa ukipiga wakati inajijaza chap unabilisha direction unapeleka upande ambao unataka afinyie
Nakuacha room mwenyewe πHuo mchezo wa kwenda kutumia kwa Rashidi mzeeπ€£π€£π€£
Tupo pamoja kakaShukran sana.
Nimeumia sana leo nimemuona anacheza Quick Match pale nikamtumia invite akawa kaingia mwingine.Derby yako ni Mill Brohπ€£π€£π€£
Na hamjaenda kitambo
Rashidi namuogopa yule sio kwa zile 6 πHuo mchezo wa kwenda kutumia kwa Rashidi mzeeπ€£π€£π€£
Alisema hataki kucheza sijui lilimshindaNimeumia sana leo nimemuona anacheza Quick Match pale nikamtumia invite akawa kaingia mwingine.
Yule Rashidi hapana ni wa motoRashidi namuogopa yule sio kwa zile 6 π
Tia back 5Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu π
View attachment 3386572
Ngoja nijaribu.Tia back 5
hahaha mimi niliwafunga mkuu....nilibadilisha formation mara 3..Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu π
View attachment 3386572
kwenye hiyo formation yao...long balls kwenye wings unawapiga....na ndio ubovu wa hiyo formation yenye back 3Leteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu π
View attachment 3386572
Jamaa wana bondaπΉπΉLeteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu π
View attachment 3386572
Back 3 dawa yake ni utumie ma winger beki zina hama kati kuna baki wazikwenye hiyo formation yao...long balls kwenye wings unawapiga....na ndio ubovu wa hiyo formation yenye back 3
Sema sasa hawatoi sana hizo nafasi hahahaha ...nilirudia mara 3....moaka kuwabonda...Back 3 dawa yake ni utumie ma winger beki zina hama kati kuna baki wazi
Nilikuwa nacheza nipo kwenye hiace nalud home nikawafunga top player bila shida, wakaja Superstar nikwafunga legends wakanigonga hamsa nikasema okay acha kwanza nifike home kichwa umetulia ndo nitacheza naoLeteni mbinu ya kuwafunga hawa jamaa kwenye level ya ligend maana imekuwa janga kwangu π
View attachment 3386572