eFootball Special Thread

Mechi ya kwanza nashangaa nimerudisha goli zote 4, hujafanya sawa kabisa mkuu 😂
Ujue naangalia ndo kwwnza first half na hata dalili ya kupiga shuti huna nikasema ngoja nikuachie mawili ili upate nguvu ya kucheza🤣🤣🤣nashangaa umeludisha yote
 
Ujue naangalia ndo kwwnza first half na hata dalili ya kupiga shuti huna nikasema ngoja nikuachie mawili ili upate nguvu ya kucheza🤣🤣🤣nashangaa umeludisha yote
Na ndo kilichonikera maana nilijua kabisa hapa nafanyiwa kusudi ili nipate goli 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…