Hili game nimeanza kucheza tokea mwaka 2018.
ila tangu mwaka jana walivyofanya update kubwa kutoka PES kuwa e football na mimi nikabadli simu.
Nikanunua simu ya Redmi 10A basi siwezi kulicheza tena simu haisupport na account yangu ya KONAMI nahisi ishafungwa.
Hapa nawaza nibadili simu.