Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,107
- 2,922
Sawa mkuuSafi usisahau ku add friends username hizi
edokissy nyingine ni eddieog
VVD hawajakupa badoShikran mkuu...yes mbappe nimeona nikilpg in kesho yupo pale....nashukuru calcedo Kuna muda anakwamisha safari yangu
Anaetumia padi humu ndani ni Gilberto_ ukicheza nae utaona namna padi inavyofanya kazi๐๐๐ wengine wote tunakaza vidole๐๐๐Hivi wakuu kutumia pad kunarahisisha shughuli? Maana Kuna wadau sidhan kama wanatumia simupekee ..sio kwa skills hizp
Bado mkuu....namsubiriaVVD hawajakupa bado
Nitaomba nione inafanyaje kazi maana Hawa jamaa skills zimezidiAnaetumia padi humu ndani ni Gilberto_ ukicheza nae utaona namna padi inavyofanya kazi๐๐๐ wengine wote tunakaza vidole๐๐๐
Watakupa na yeye siku si nyingi mweke pale akusaidie kukaba...Bado mkuu....namsubiria
Aah utafungwa nyingi sana ngojea kikosi kikuekue kwanza kidg...Nitaomba nione inafanyaje kazi maana Hawa jamaa skills zimezidi
Acha kunitonesha kidonda mkuu, hiyo account walipita nayo wajanja ๐Huyu Sergio Busquet umempeleka wap mkuu๐
Pole sana๐๐Acha kunitonesha kidonda mkuu, hiyo account walipita nayo wajanja ๐
Asante mkuu ndio nakuza kikosi taratibuAah utafungwa nyingi sana ngojea kikosi kikuekue kwanza kidg...
pambana mkuuAsante mkuu ndio nakuza kikosi taratibu
Jamaa sijui alikuwa na akili gani yule mpuuzi, kulikuwa na Villa wa 104 mule alikuwa hatari sana halafu kocha Gerald wa 500 coins ๐Pole sana๐๐
Amna hiyo๐๐๐ choma coins hizo
Alijua kabisa kama ungekuwa naye ungekuwa unanifunga kila siku ๐ฅJamaa sijui alikuwa na akili gani yule mpuuzi, kulikuwa na Villa wa 104 mule alikuwa hatari sana halafu kocha Gerald wa 500 coins ๐
Kama ingekuwepo mpaka sasa huenda Strength ingekuwa inasoma 3150+ maana ilipotea ikiwa na 3112.
Kwenye ndoto inawezekana๐
๐ ๐ account za e football ni deal kumbeAcha kunitonesha kidonda mkuu, hiyo account walipita nayo wajanja ๐
Ili uwe mzoefu zaidi inabidi umfunge kibonde wa umu kwanza ,tupande badae๐๐Asante mkuu ndio nakuza kikosi taratibu
HahahahAh eee badae tukutane๐ ๐ account za e football ni deal kumbe
Ili uwe mzoefu zaidi inabidi umfunge kibonde wa umu kwanza ,tupande badae๐๐
๐๐mkuu dvn huwa nacheza kuboresha skills ila sio kukomaa nipande maana sessions ikiisha unarudishwa uliko anzia na mala zote huwa simalizi sessions.Mr Devil unashindwaje kutoka hapo dvn 6 mkuu hahahahah..... Kaza vidole hivo
Mimi kibonde mtandao umewazingua jamaa hadi nimepanda....nikakomaa na event tu .japo nazo za moto