eFootball Special Thread

Wakuu Mimi ndo naanza bhana..

Kuna hii shida nakutana nayo....yani pass hazitoki hata niguse mara 3 wala kick, wala through ball....hii shida inaishaje...

Kuna daraja la 9 na 8 nmecheza vyema sana bila shida
Aah hujazishika button vizuri sehemu zilipo kwa hiyo unaweza ukawa unabonyeza sehemu ambapo hakuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…