eFootball Special Thread

Leo niache tu bado nahasira na huyu refa wa leo 😂

Kwani ukinitag kwa herufi ndogo siwezi ona mkuu 😂
 
Yule refa mechi zote kubwa za Wabongo yupo 😂

Nakumbuka kipindi sisi Wanayanga tumehujumiwa goli letu mlimsifia sana mkaona kafanya la maana, leo kimewaramba na nyie 😂💔
Ile haikuwa fainali bhana ila leo ilikuwa fainali, haya mashindano tunashiriki tu ila mabingwa washaandaliwa 😂

Hakuna namna leo Berkane alikuwa hachomoki ila akaona aue middle yetu ili kurahisisha kazi mwehu yule 😂
 
Ile haikuwa fainali bhana ila leo ilikuwa fainali, haya mashindano tunashiriki tu ila mabingwa washaandaliwa 😂

Hakuna namna leo Berkane alikuwa hachomoki ila akaona aue middle yetu ili kurahisisha kazi mwehu yule 😂
Huyu refa ndo yule yule aliyechezesha ile fainali ya Shirikisho 2nd leg ya USM Alger v Yanga kule Algeria
Akachezesha tena Mamelodi v Yanga kule Pretoria 😵‍💫
Leo tena kaletwa kwa Wanasimba 😃


YAANI BADO HAMJASEMA
 
Huyu refa ndo yule yule aliyechezesha ile fainali ya Shirikisho 2nd leg ya USM Alger v Yanga kule Algeria
Akachezesha tena Mamelodi v Yanga kule Pretoria 😵‍💫
Leo tena kaletwa kwa Wanasimba 😃


YAANI BADO HAMJASEMA
Kiukweli refa leo alikuwa upande wa waarabu.
Ila nyinyi mngeshinda leo sisi sura zetu tungeweka wapi?😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…