Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Kama hiyo jeuri unayo unistall 😂Owaaaa unanipangia mwanangu🤣🤣
Umemuona wapi bhana wachezaji wenye 95 wengi huishia rate ya 99.Huyo anafika mia kamili😃😃
😃😃😃Aseee kumbe familia kabisa kakaMi kwa Vardy ndo nilipoteza kama 700 hivi
Dua la kuku... 😂Leo sitaki invite yoyote muwe na usiku mwema......
Razorblade lolote baya likukute room utakayoingia....
Ili ukae kwa aman hapana mpaka nihakikishe nimekufunga umeamua kufuta game na hapo na mimi ndo nitafuta😃😃Kama hiyo jeuri unayo unistall 😂
Nenda na RazorbladeAliyepo free aje tumjaribu Blitz Dominic 😂
Familia ila we una machungu zaidi 😂 mi wamenipoza kwa huyu Blitz, afu yule Vardy alikuwa phenomenal finishing sawa tu na Gabi Bastituta 😂😃😃😃Aseee kumbe familia kabisa kakaView attachment 3344342
Ilikuwa dhaman babu saiv dua la kuku linampata mwewe vizuri kabisa😃😃Dua la kuku... 😂
As long na wewe Mganga mfawidhi wa Konami kutoka gamboshi unapoteza coin hakuna noma😃😃Familia ila we una machungu zaidi 😂 mi wamenipoza kwa huyu Blitz, afu yule Vardy alikuwa phenomenal finishing sawa tu na Gabi Bastituta 😂
How are you feeling? 😂
Marquinhos wangu ni wa 95 anafika mia kakaUmemuona wapi bhana wachezaji wenye 95 wengi huishia rate ya 99.
😂😂 mjomba KONAMI ananisaidia sanaAs long na wewe Mganga mfawidhi wa Konami kutoka gamboshi unapoteza coin hakuna noma😃😃
Atleast unapoteza na wewe sipo peke angu😂😂 mjomba KONAMI ananisaidia sana
Nilispin wakati napigwa na jua la asubuhi.. Nipo Mwanza sehemu hamna ziwa 😂 kuliona ziwa mpaka nisafiri..😂Atleast unapoteza na wewe sipo peke angu
Japo nyota yako mzee 🤣🤣🤣
Na hivi bio yako umeweka mwanza nina wasiwasi kama huendi kuspine ziwani sijui🤣🤣🤣
😃😃😃Aina noma me nipo malimbe hapaNilispin wakati napigwa na jua la asubuhi.. Nipo Mwanza sehemu hamna ziwa 😂 kuliona ziwa mpaka nisafiri..😂
Ipo Mwanza? 😃😃😃😃Aina noma me nipo malimbe hapa
Simu nayotumia inanipotezea ladha ya game mkuu na mzuka unapungua kwa sababu sichezi kwa raha, nataka nianze kujifunza game upya 😂Ili ukae kwa aman hapana mpaka nihakikishe nimekufunga umeamua kufuta game na hapo na mimi ndo nitafuta😃😃
Am here 😀Aliyepo free aje tumjaribu Blitz Dominic 😂
Vipi mkuu nifungue game au upo room na mtu?Airtel mtandao kono kono kesho nijiunge voda yangu