Ivi mkuu LBC na QC kuna utofauti sana...Upo vizuri kwa quick counter
Defensive instructions huwa nawapa Orchestor wangu wale wawili Guardiola na De jong maana nikawaacha hivi hivi nitakuwa mweupe nyumaUnampa defensive instructions safi tu
Quick counter beki zinapanda juu karibu mstari wa kati ili kupress kuanzia mbele ukicheza quick counter inabidi uwe na mabeki wenye speed above 82 la sivyo utalamba mchanga divison 1 πIvi mkuu LBC na QC kuna utofauti sana...
Maana nimekuta mjadala sehemu kuwa mtu anayecheza Quick Counter Defensive line inawai kubreak tofauti na LBC na LB ambapo defensive inabakia solid...???
Mbona unanishawashi nimchukue Gasperini sasaπQuick counter beki zinapanda juu karibu mstari wa kati ili kupress kuanzia mbele ukicheza quick counter inabidi uwe na mabeki wenye speed above 82 la sivyo utalamba mchanga divison 1 π
LBC ukipoteza mali mabeki wanarudi nyuma faster kumaintain defensive shape. Formation ipi bora inategemea na mtu mfano mimi naenjoy ku defend kuliko ku attack ndio maana nina mabeki wengi na defensive mid kukiko forwards (kabla sijaanza kucheza 343)
Amekuwa fundi mie aniache tu bado noob πKuna namna selikavu anakokota mpira π na jinsi anavyo time press mchezaji anayepokea pass. Pia jinsi anavyoziba nafasiπ. Anaelekea kuwa pro kilichobaki ni kupata squad kamili.
Nishasema hatuchezi πSasa unanikimbia nani unataka nimuonee zaid yako humu ndaniπππ
Noob which πππpro kabisa wewe Drogba mannguvu pre season kila siku ππmchezaji mkubwa sana weweAmekuwa fundi mie aniache tu bado noob π
Saiv basi utashinda kakaππNishasema hatuchezi π
π¨ ππππ πππππ:Santos FC will announce their new player in the next 2hours π΄βπ»
Sileti timu πBabu vip unakimbiaje mechiπ€£π€£π€£
π¨ ππππ πππππ:Santos FC will announce their new player in the next 2hours π΄βπ»
Medical tests completed, documents being prepared for Him to join and wear shirt number 9
HERE WE GOπ³
Ushakuwa yanga sasa na weweπ€£π€£Sileti timu π
Sasahivi najitahidi kupiga krosi bado hayo magoli tu πWe si umesema hutaki magoli hayoπππ
Omba sana Efootball wachelewe kunipa Kante na Tony AdamsSasahivi najitahidi kupiga krosi bado hayo magoli tu π
Aaah we michezo hiyo πNoob which πππpro kabisa wewe Drogba mannguvu pre season kila siku ππmchezaji mkubwa sana wewe
..
Leta timu uwanjani kakaπ
Wakupe mapema au wakucheleweshee nimekwambia HATUCHEZI πOmba sana Efootball wachelewe kunipa Kante na Tony Adams
Zaidi yao πUshakuwa yanga sasa na weweπ€£π€£
Haha, kweli ngoja nikusanye coins ile acc haina kocha wa possession Xabi Alonso mi naona sio mzuriπππMfumo wako ni Possession game mzee Quick counter tutasumbuana tuu