eFootball Special Thread

Leo ndiyo kwanza Ijumaa halafu nisubiri mpaka J'5 ndo nifanye selection ya mchezaji, hii haikubaliki bhana liwalo na liwe tu πŸ˜‚

Selikavu niandalie post ya Fabrizio Romano mchezaji atatangazwa leo saa 4 usiku πŸ˜‚
 
Mi leo nimejaa kwenye mfumo wake πŸ˜‚

View attachment 3343144

Mechi 2 sijaambulia kitu, leo beki zake zimekuwa ngumu mno kuzifungua kwa upande wangu. Nimewon kila kitu kasoro magoliπŸ˜„ View attachment 3343145
Mkuu huyo beki zake kaziweka karibu sana na kipa kama unasubiri mpaka usogee karibu ndo upige anakuwahi mapema, naweza fika ndani ya box lake hata mara 10 lakini kupiga sasa unakuta kashawahi na kupiga mashuti nje ya box bado najifunza πŸ˜‚
 
Mkuu huyo beki zake kaziweka karibu sana na kipa kama unasubiri mpaka usogee karibu ndo upige anakuwahi mapema, naweza fika ndani ya box lake hata mara 10 lakini kupiga sasa unakuta kashawahi na kupiga mashuti nje ya box bado najifunza πŸ˜‚
We si umesema hutaki magoli hayoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kuna namna selikavu anakokota mpira πŸ™Œ na jinsi anavyo time press mchezaji anayepokea pass. Pia jinsi anavyoziba nafasiπŸ™Œ. Anaelekea kuwa pro kilichobaki ni kupata squad kamili.
Mbona naona kwenye dribble bado kabisa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Maana napoteza mno mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…