Kazi imeanza😃😃Nimetuma request nasubiria kukubaliwa.. ila nimeona kwa juu pale masela zangu zaidi ya 7 wapo mule haha
Magroup yapo mengi halafu mengine watu wanajirudia.Nimetuma request nasubiria kukubaliwa.. ila nimeona kwa juu pale masela zangu zaidi ya 7 wapo mule haha
Hakuna cha mechi Mill broh ashamsumbua tayali yeye mwenyewe alisurrender😃😃Hamna zipigwe mechi kwanza 😂
Oya mnataka kuniua😃. Basi sawa natupa taulo kuanzia leo Gilberto mpinzani wangu😃
Huyu ni Selikavu kabisa 😂Kama vile ana fanya jambo la maana vile 😂 😁 😂
View attachment 3342499
Hakuna cha nini wala nini Mill bro na mimi nipo upande wake nimeshachagua🤣🤣🤣🤣Hahaha mi napendekeza best of 3.. nitakaemuweza huyo huyo nitadeal nae 😄 🤣
Haya kazi ianzie hapa, kama mbwai mbwai tu 😂Oya mnataka kuniua😃. Basi sawa natupa taulo kuanzia leo Gilberto mpinzani wangu😃
Kama vile ana fanya jambo la maana vile 😂 😁 😂
View attachment 3342499
Duuh Hii ishu ya kukaa na mali na sishindi hata itabidi nianze kuiacha 😂 au nashinda sizidi 2Wewe una balaa mkuu unakaa na mali kama Barca😃🙌
Negan tumepiga As whereSawa wakuu. NEGAN 😂 wamependekeza tuwe na derby aysee utakuwa unanifundisha kila siku naona
😂😂 duhWewe una balaa mkuu unakaa na mali kama Barca😃🙌
Vita ni vita... 😂Vita yangu ni vita baridi na Mill broh 😃
Huyu ndo anakufaaa🤣🤣Huyo sijamalizana nae, sema hii wiki sijacheza kabisa game nipo kwenye mitihani nitamrudia tu tumalizane 😂😂
Baaasi huyo huyo Mill broh 😂 sema tayari ana bifu na NeganNegan tumepiga As where
Negan mtaleta heshima😃😃😃
Game zenu mpka ukatoa mawinga maana uliona unamnyanyasa hizo haziwezi kuwa Derby mnaoneana huruma
Mimi juzi Razorblade kaja na neti yake mbovu kidogo nimfunge hamsa🤣🤣🤣naona kabisa kasimama nakaba naenda kufunga
Yeye mwenyewe kashanipiga sita 😃😃
Namna hiyo...
Sasa mtu pekee ambaye atakuweza ni Mill broh🤣🤣
Kama Denzila kila group yupo anatafuta hela🤣🤣🤣Magroup yapo mengi halafu mengine watu wanajirudia.