Nilijua tu utaniona...Halafu katika moja ya magroup niliyonayo huwa naona jina la account yako(Myunani) likiomba friend match, namba yako haiishii 633?
Haha, huko huenda anajiita NailCutter ππNilijua tu utaniona...
Hiyo link ulituma wewe Humu ndani na nilivyoingia nikasema humu Razorblade yupoπππ nikaangalia pale username zilizopo nikakukosa nikasema okay atakuja tu kunisema jamii forum π€£π€£π€£
π€£π€£π€£Hatumii Razor blade niliangalia jina lake la kule EfootballHaha, huko huenda anajiita NailCutter ππ
Halafu huwa sisomi sms maana zinakuwa nyingi mno sasa jana nikasema ngoja leo nisome sms moja moja ndo nikakutana na sms zako πNilijua tu utaniona...
Hiyo link ulituma wewe Humu ndani na nilivyoingia nikasema humu Razorblade yupoπππ nikaangalia pale username zilizopo nikakukosa nikasema okay atakuja tu kunisema jamii forum π€£π€£π€£
Mkuu niache πHaha, huko huenda anajiita NailCutter ππ
Hawajambandika vipigo vyake huko? πHalafu huwa sisomi sms maana zinakuwa nyingi mno sasa jana nikasema ngoja leo nisome sms moja moja ndo nikakutana na sms zako π
Nimenyamaza mkuu πMkuu niache π
Jina lililopo kwenye game ndo nilikuwa natumia ila siku za hivi karibuni nilimuazima mtu kwahiyo nikalog out kwenye hiyo simu, nilivyorudishiwa wakati wa log in nikaweka jina lingine.π€£π€£π€£Hatumii Razor blade niliangalia jina lake la kule Efootball
Maana nalavyolilinda utazania free spine za konamiπ€£π€£
Mule friends match zinachezwa ila matokeo yanayotumwa sana ni ya ligi au wale wapinzani wa muda wote πHawajambandika vipigo vyake huko? π
Hili group lake watu wana vikosiHawajambandika vipigo vyake huko? π
Si una vita na mimi mzeeππHalafu huwa sisomi sms maana zinakuwa nyingi mno sasa jana nikasema ngoja leo nisome sms moja moja ndo nikakutana na sms zako π
Nilisema siku utaomba match nitakuta li team lako room tuuπππJina lililopo kwenye game ndo nilikuwa natumia ila siku za hivi karibuni nilimuazima mtu kwahiyo nikalog out kwenye hiyo simu, nilivyorudishiwa wakati wa log in nikaweka jina lingine.
Hahaha, kuna watu huwa wana dharau mno π akichungulia tu kikosi chako anatoka room anaona kama hautompa challenge..Hili group lake watu wana vikosi
Kuna jamaa katuma codee me m
Nikapita nayo kuingia game mzee ana 3222ππ nikasema guy guy huu si ni ubakaji sasa Mungu saidia akatoka room mwenyewe otherwise ilikuwa ni week nakula
Huwa wanazingua wengine akiona aliyeingia room kikosi chake kidogo basi anatoka.Hili group lake watu wana vikosi
Kuna jamaa katuma codee me m
Nikapita nayo kuingia game mzee ana 3222ππ nikasema guy guy huu si ni ubakaji sasa Mungu saidia akatoka room mwenyewe otherwise ilikuwa ni week nakula
Vita yetu ni huku πSi una vita na mimi mzeeππ
Mule huwa nachukua vitu muhimu tu hasa nikiwa nahitaji booster, sasahivi sijaomba booster kwa sababu kuna YouTuber namfatilia.Nilisema siku utaomba match nitakuta li team lako room tuuπππ
Kuna wale ambao akituma code ukipita nayo akikufunga anarudi na screenshot halafu anaweka na ujumbe πHahaha, kuna watu huwa wana dharau mno π akichungulia tu kikosi chako anatoka room anaona kama hautompa challenge..
Sema mi nilikuja kuingia magroup ya Whatsapp nikiwa kidogo nishaanza kujipata kwenye game ila hizo fedheha naziona sana mule kwenye magrupu π
Hizo fedheha sio poa π unaanza na kufundishwa game hapo hapo 'kaza kaza game unajua mwanetu', 'jifunze kukaba', 'usipigepige mashuti tu', ' tunza coins uchukue kocha wa Quick' ...ππKuna wale ambao akituma code ukipita nayo akikufunga anarudi na screenshot halafu anaweka na ujumbe π
Wapo wengi sana mtu anaamini kikosi ndo kushindaππHahaha, kuna watu huwa wana dharau mno π akichungulia tu kikosi chako anatoka room anaona kama hautompa challenge..
Sema mi nilikuja kuingia magroup ya Whatsapp nikiwa kidogo nishaanza kujipata kwenye game ila hizo fedheha naziona sana mule kwenye magrupu π
Me atakayejichanganya tuu nampigia kazi kesho ananicheki mwenyewe owaa tupandeHuwa wanazingua wengine akiona aliyeingia room kikosi chake kidogo basi anatoka.