Me nawaambia ombeni nisipate Anchorman...Sasahivi natakiwa nimpate DMF(Anchorman) mzuri zaidi.
๐๐ Kazini kwangu kuna kazi๐๐Strength yako ipo kwenye AMF. Mtu akiwaziwia wasitembee na mpira hutengenezi nafasi kabisa.
Itanilazimu nishift kwenye possession game ..Weakness ya 4222 ni wide positions. Na hii formation yangu 3133 ina overload pembeni. Ukitaka kuifunga back 3 vizuri kaa na mali turn halafu uwe good passer.
Note: Ukitanua uwanja na beki zako zinatanuka na kupanda juu๐ญ๐ hiyo mechi itakua ya moto piga nikupige๐Itanilazimu nishift kwenye possession game ..
Ndo maana Guilberto alikusumbua...
Hapa nina two options nije na striker mmoja ili nikufanye utanue pemben au nibaki na hii hii 4222 then nicheze possession game ..
Baadae nitaona
Beki timber nimempa CB so hatopanda sana na pia trent nitampa defensive tucheze sasa๐๐Note: Ukitanua uwanja na beki zako zinatanuka na kupanda juu๐ญ๐ hiyo mechi itakua ya moto piga nikupige๐View attachment 3340759
Guardiola fundi ๐Me nawaambia ombeni nisipate Anchorman...
Leo mpk nimmkumbuka Rodri wangu wa standard ๐๐naenda kushambulia nakuta Guardiola yupo mbele naye๐๐
Hii inafaa zaidi kwa QC kwa sababu inakosa watu wa pembeni siyo nzuri kwa LBC(Jibu la AI).Lbc pita na 4222
Kasoro mimi tu, sitomchukua yeyote mpaka free spin zote ziishe ๐Kesho Kutakuwa Na Mafuliko Kila Mtu Utaekutana Nae Tunakutana Na batistuta au Owen๐๐๐ฝ
Fundi mno๐คฃ๐คฃ๐คฃacha uoga toa helaGuardiola fundi ๐
Siyo kwa Guardiola ๐Fundi mno๐คฃ๐คฃ๐คฃacha uoga toa hela
Aya katoe kwa Villa sasa๐คฃ๐คฃSiyo kwa Guardiola ๐
Huyo ndo kabisa ๐Aya katoe kwa Villa sasa๐คฃ๐คฃ
Ujanja wote huo kumbe unashabikia hayo manyumbu ๐Nilikuwa nataka nipunguze stress za mwantesa United ๐
Me mshamba kaka natokea Geita vijijini ndani ndani huko๐๐Ujanja wote huo kumbe unashabikia hayo manyumbu ๐