eFootball Special Thread

Kumbe akina mimi na Razorblade na wengine wanakuogopa๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒAlinikuta sipo form leo plus kichwa kinagonga silali muda mrefu siku hizi masaa mawili au matatu.. leo nataka nilale masaa nane saa tano nipo kitandani...

Kesho nikiamka tuu naamka nae....

Kanifanya nimegundua kuwa beckham hana One touch pass... Nilivyomtoa nikamuweka Bruno tumedraw game zote๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ maana kanifunga game zote kwa ajili ya maboko kati ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒkwa hiyo kesho nitamfunga ili kumuonesha kauli yake kuwa hakuwa sahihi

Now i stay humble
 
Leo kuna jamaa nimecheza nae kanibonda mno nimelud Whatsapp kaniuliza kwa mpira wako kuna mtu unamfunga kwel ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃikabid nichek tuu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Nikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game ๐Ÿ˜‚
 
Nimemuelewa, ila mbona hafungi sasa.
Mkuu mie bado najifunza game na wala sina haraka ya kutafuta matokeo uwanjani nachotaka nicheze mpira ambao nitaufurahia na hata mpinzani nikimfunga iwe hivyo kwake.

Courtois ni mzito mahali kama hujampa instruction hajiongezi.
 
Nikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game ๐Ÿ˜‚
Ushawai ona Atletico wanavyocheza mkuu...๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒme napenda mno..

Ndo mchezo wangu napenda nijue kukaba tuu basi...

Then tukutane uwanjani...

๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Kitandani unaingia saa 5 ila usingizi kuja saa 7๐Ÿ˜‚
 
Nilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni ๐Ÿ˜‚

Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).

Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?

Zinavutia sana aisee.
 
Za 2021 hizo card legend huyu ๐Ÿ˜ƒ
 
Mkongwe huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ