Anachomaanaisha yeye anajua kumfunga Courtois ila kwa sababu na yeye ni kipa wake hasemi trick yakeππππToa tu mkuu tujue tunakusaidiaje.
Aina noma kakaWeit simu ipo chaji saa 4 hivi uhakika.
Kumbe akina mimi na Razorblade na wengine wanakuogopaπ
ππAlinikuta sipo form leo plus kichwa kinagonga silali muda mrefu siku hizi masaa mawili au matatu.. leo nataka nilale masaa nane saa tano nipo kitandani...Kumbe akina mimi na Razorblade na wengine wanakuogopaπ
Nikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game πLeo kuna jamaa nimecheza nae kanibonda mno nimelud Whatsapp kaniuliza kwa mpira wako kuna mtu unamfunga kwel π€£π€£π€£ikabid nichek tuuππ
Mkuu mie bado najifunza game na wala sina haraka ya kutafuta matokeo uwanjani nachotaka nicheze mpira ambao nitaufurahia na hata mpinzani nikimfunga iwe hivyo kwake.Nimemuelewa, ila mbona hafungi sasa.
Ushawai ona Atletico wanavyocheza mkuu...ππme napenda mno..Nikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game π
Kitandani unaingia saa 5 ila usingizi kuja saa 7πππAlinikuta sipo form leo plus kichwa kinagonga silali muda mrefu siku hizi masaa mawili au matatu.. leo nataka nilale masaa nane saa tano nipo kitandani...
Kesho nikiamka tuu naamka nae....
Kanifanya nimegundua kuwa beckham hana One touch pass... Nilivyomtoa nikamuweka Bruno tumedraw game zoteππ maana kanifunga game zote kwa ajili ya maboko kati ππkwa hiyo kesho nitamfunga ili kumuonesha kauli yake kuwa hakuwa sahihi
Now i stay humble
Aah kmmkπ mwamba anapiga kwenye kichwaπ
Kuna watu wanajua hili game ukitaka kuamini fika divison 1 uone mechi zilivyo za motoπNikikwambia jifunze mpira mzuri hutaki, huenda ni vile wote humu inaonekana hatujawa vizuri kwenye hili game π
Leo kwa namna yoyote ile nawai kulalaKitandani unaingia saa 5 ila usingizi kuja saa 7π
Acha tuu kakaπππAah kmmkπ mwamba anapiga kwenye kichwaπ
Kuna mtu nilikutana nae hukohuko dvn nilikula mkono saafi ila mpira wake niliupenda ndiyomaana namie nataka nicheze hivyo, itanichukua muda ila nitavumilia vipigo πKuna watu wanajua hili game ukitaka kuamini fika divison 1 uone mechi zilivyo za motoπ
Za 2021 hizo card legend huyu πNilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni π
View attachment 3338609
Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).
Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?
View attachment 3338611
Zinavutia sana aisee.
Ila kala 3-0 na hakupiga on target hata 1 πZa 2021 hizo card legend huyu π
Mkongwe huyoNilienda friend na huyu jamaa jana aisee ni anakimbiza siyo poa, nilikuwa nachoka mie badala ya makatuni π
View attachment 3338609
Ila sikuwa mnyonge nilipata goli kwenye mechi zote tulizocheza, ila ameniongezea kitu cha muhimu sana(speed+accurate pass).
Ziada, hivi hizi chard ni za kipindi gani?
View attachment 3338611
Zinavutia sana aisee.