eFootball Special Thread

Guilberto na Mill broh
Utanzania wetu upo wap??

Undugu wetu upo wap??


Umoja wetu upo wap??


Ushirikiano wetu upo wap???


Uafrika wetu upo wap???


Matokeo yapo wap???🀣🀣🀣
 
Katika mechi 3 za mwisho 2 ndo nimeona nimecheza na kutoa ushindani ila hii LBC sijui kwanini haitaki kukaa wakati ndo nilianza nayo game πŸ˜‚
Wewe LBC huwezi hutumii long balls me ningekuwa na kocha ningekuonesha
 
Hii mechi ya kwanza bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯ dakika ya 11 nishakula chuma 3 sijui nilikuwa nazubaa wapi πŸ˜‚πŸ’”

Hii mechi ya mwisho nikagongwa chuma 2 bila ile kuchomoa zote jamaa akawasha full def bars πŸ˜‚πŸ”₯ nikasema duh hapa ni kutumia nafasi tu mana nikipoteza ataniadhibu ipasavo

Ndo kama hivo nimeshinda 1 tu πŸ˜‚πŸ’”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…