Vip matobo mengi nini๐๐
Historia fupi ya marehemu...Shambulia pembeni mkuu nataka nionje sumu kwa kijiko๐
Mbona umetoka mkuu?Vip matobo mengi nini๐๐
Hapana me nipo kaka nilikuwa na RazorbladeSelikavu umepotelea kwenye chaji kaka
Wewe si umesema mechi mbili au unajisahaulisha kaka๐คฃ๐คฃ๐คฃna nimetoka maksudi kabisa nikutie hasira๐คฃ๐คฃ๐คฃMbona umetoka mkuu?
Ndiyo Mh Aikaeli Intelligent ๐๐Ma jobless pro max kwenye Moja na 2
Rudi uwanjani wewe ๐Wewe si umesema mechi mbili au unajisahaulisha kaka๐คฃ๐คฃ๐คฃna nimetoka maksudi kabisa nikutie hasira๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Pow kaka tuma invite...Rudi uwanjani wewe ๐
Nawa zoom tu, mi niko na movie zangu hapaNdiyo Mh Aikaeli Intelligent ๐๐
Haya ingia hapo.Pow kaka tuma invite...
Uwanja weka Emirates ๐คฃ๐คฃ
Umeanza kile chuma kilichotoka Jana๐๐Nawa zoom tu, mi niko na movie zangu hapa
Hapana nilidharau game...Selikavu kuwa makini kuna hatihati usinifunge tena baada ya leo, watoto wa afu 2 wanakusumbua kwa 4-2-2-2 ๐
Game ya kwanza naweza kubali hilo ila game ya pili imekuwa tie sababu ya uzembe wangu na game ya tatu nilijaribu kutumia LBC kama kawaida mpaka dakika ya 78 ndo nikarudi kwenye QC ๐.Hapana nilidharau game...
Ndo maana na mimi nikabadili kikosi๐๐
Game ya kwanza nimeangalia kikosi chako mpka nikahisi nimekosea room...
Game nzima najiuliza huyu jamaa kawaza nini
Ndo maana ukanisumbua...
Game ya pili nikasema okay acha tuweke kikosi B na sisi...
Shughuli ikaenda sawa
Umenisumbua kwa sababu bado nilikuwa na mentality ya possession game za before...Game ya kwanza naweza kubali hilo ila game ya pili imekuwa tie sababu ya uzembe wangu na game ya tatu nilijaribu kutumia LBC kama kawaida mpaka dakika ya 78 ndo nikarudi kwenye QC ๐.
Afu kumbuka nimekosa sana magoli leo๐ดGame ya kwanza naweza kubali hilo ila game ya pili imekuwa tie sababu ya uzembe wangu na game ya tatu nilijaribu kutumia LBC kama kawaida mpaka dakika ya 78 ndo nikarudi kwenye QC ๐.
Haina noma mtaalam sema ile come back. Aiseee kila nikizuia inashindikana๐Sema tungeendelea ila nimebakiwa na %6 tu