eFootball Special Thread

Amrabat kipara πŸ˜‚
Huyo Amrabat nataka nijue possession game kwanza alafu aje sasa ataonaπŸ˜ƒπŸ˜ƒmaana nguvu simuwezi atakuwa anazungushwa tuu...

Ndo maana nakomaa na Guilberto master of possession game nikijua basi wewe tukicheza njoo na LBC Yako nakuja nA Possession gameπŸ˜ƒπŸ˜ƒalo weee..


Japo possession game ya kingese wachezaji hawafungui mbele wanafata mali ilipo nimekula chuma nne huko game ya kwanza

Picha baadaeπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Nitajie timu kubwa ambayo bado inatumia hiyo tactic kwa zama hizi πŸ˜‚
 
Afu yule kocha wa Possession sikuwa nimemtumia kama miezi minne saivi. Hizi wiki 2 hapa nimetokea kumpenda kila nikicheza hata nifungwe simtoi πŸ˜„
 
Afu yule kocha wa Possession sikuwa nimemtumia kama miezi minne saivi. Hizi wiki 2 hapa nimetokea kumpenda kila nikicheza hata nifungwe simtoi πŸ˜„
Me possession game kuna kitu ambacho ni tofauti na mifumo mingine nimekiona siku hizi ngapi ninapocheza na watu wengine...


Me alonso ana Possession game 88 na Quick counter 88 kwahiyo nashift tu huku ama hukuπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…