Umenikuta nipo exhausted ila sio sababu leo mfumo umenisumbua mno wa kwako...Mkuu wewe ndo umenipelekea moto aisee ๐
Haya maboko imekuwa mtihani kwangu, mechi ya 3 maboko pia nikawa nikipoteza sikabi tena, kumfukuzia Owen ni kujidanganya ๐๐๐Game ya kwanza umetoa boko magoli manne๐๐na hapo kuna maboko nimekosa๐คฃ๐คฃ
Game ya 3 ndo nakuja kucheki kumbe DMF sijamuweka aje deep.Umenikuta nipo exhausted ila sio sababu leo mfumo umenisumbua mno wa kwako...
Sasa nikikutana na Negan nitafungwa sana...
Nipate Anchorman sasa anipigie kazi....
Hata Edo kissy alikutana na shughuli ya huyo mtu ๐Wakuu ivi huyi Amrabat wa Razorblade anawasumbua kama Mimi anavyonisumbua au...
Maana kupita akiwepo ishakuwa kazi๐คฃ๐คฃ
Umeanza kumbe na wewe huu mchezo๐๐Game ya 3 ndo nakuja kucheki kumbe DMF sijamuweka aje deep.
Shida yako nyingine ukishafungwa mbili ni kama unapoteana๐๐unatoka mchezoni kabisa maboko yanaanzaHaya maboko imekuwa mtihani kwangu, mechi ya 3 maboko pia nikawa nikipoteza sikabi tena, kumfukuzia Owen ni kujidanganya ๐
Hamna ni kule kwenye individual instruction sikumuweka Deep line.Umeanza kumbe na wewe huu mchezo๐๐
Aah deepline mzee muhimu mimi kwa sababu sina Anchorman De jong lazima ale Deepline ndo maana nacheza double PivotHamna ni kule kwenye individual instruction sikumuweka Deep line.
Ukishatangulia kuanzia 2+ huwa nacheza tu game iishe ili tupige ingine ๐Shida yako nyingine ukishafungwa mbili ni kama unapoteana๐๐unatoka mchezoni kabisa maboko yanaanza
Ndo nilisahau sasa yani baada ya game ya 3 ndo nikaenda kuangalia, baada ya hapo Owen kapata tabu sana ๐Aah deepline mzee muhimu mimi kwa sababu sina Anchorman De jong lazima ale Deepline ndo maana nacheza double Pivot
Hapa itabid Batistuta aje tuu na phenomenal inisaidie sina namnaNdo nilisahau sasa yani baada ya game ya 3 ndo nikaenda kuangalia, baada ya hapo Owen kapata tabu sana ๐
Mzee haijaisha mpaka iishe๐๐me hata unifunge saba nitakaza tuuUkishatangulia kuanzia 2+ huwa nacheza tu game iishe ili tupige ingine ๐
Game ya kwanza nilitumia QC ila zilizobaki zote nimetumia LBC.Hapa itabid Batistuta aje tuu na phenomenal inisaidie sina namna
Sema mechi zako ngumu aisee ๐Mzee haijaisha mpaka iishe๐๐me hata unifunge saba nitakaza tuu
Niliona umeiva asee๐๐Game ya kwanza nilitumia QC ila zilizobaki zote nimetumia LBC.