Tittle misleading Mkulo is NOT Outlawing anything, hizo ni delusional fastasies na oversimplification za huyo blogger.
Hadithi za Abunuwas hizo. Sidhani kama kutakuwa na lolote lile la maana zaidi ya usanii. Serikali hii iko ICU haina ubavu wa kufanya maamuzi yoyote magumu/mazito kwa maslahi ya nchi.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...x-transactions-in-tanzania-govt-to-act-2.html
You have said it all.This government cannot outlaw the use of US$ because the majority of business operating by US$ belongs to government leaders. We are in it. Tuliwacheka Wazimbabwe sasa yanatukuta.
Serikali yapiga ‘stop' matumizi ya dola IMTU |
Wednesday, 09 November 2011 20:50 |
Aziza Masoud Mwananchi SERIKALI imeuagiza Uongozi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba (IMTU) kuacha kutoza ada kwa fedha za kigeni na badala yake itoze kwa shilingi ya Tanzania. Hatua hiyo ya Serikali imekuja kipindi ambacho kumekuwa na malalamiko kutoka kona mbalimbali za nchi kuhusu matumizi holela ya dola badala ya shilingi katika biashara na manunuzi. Jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Hamisi Dihenga alitangaza hatua ya Serikali kuzuia matumizi hayo katika chuo cha IMTU akisema ada za chuo hicho zimekuwa juu ikilinganishwa na ada za vyuo vingine nchini. Kwa muda mrefu wanafunzi wa IMTU wamekuwa wakilalamika na kuingia kwenye mgomo wakipinga kutozwa ada kwa kutumia viwango vya dola badala ya shilingi Profesa Dihenga alisema kushuka kwa thamani ya shilingi mwaka hadi mwaka kumesababisha ada kupanda mara kwa mara.Kwa mujibu wa Profesa Dihenga ada ya mwaka 1996 ilikuwa Dola 4,500 za Marekani sawa na Sh2.7 milioni wakati kwa kiasi hicho mwaka 2011, ada ni Sh7.2 milioni. "Hivyo wizara imeamua malipo yote yafanywe kwa shilingi ya Tanzania na TCU ifuatilie kwa uangalifu utekelezwaji wa mwongozo wake," alisema Profesa Dihenga. Alisema mwongozo wa TCU unahimiza vyuo vyote kutoza ada kwa kutumia shilingi ya Tanzania kwa wanafunzi Watanzania.Aidha chuo hicho kimetakiwa kufuata kanuni za udahili wanafunzi na hasa uwiano kwa wanafunzi wa ndani na wa nje ya nchi (25:75) kama ilivyo katika hati idhini za chuo hicho. Mgogoro huo uliodumu kwa takribani miezi mitatu ulikuwa unahusisha uongozi wa chuo hicho na wanafunzi na kusababisha kufungwa kwa chuo hicho Agosti 23, mwaka huu na ulisababishwa na utaratibu uliokuwa ukitumiwa na chuo hicho wa kulipa ada kwa Dola za Marekani. Katika hatua nyingine, wizara imeitaka TCU kufanya ukaguzi wa kitaaluma na kiutawala kwenye chuo hicho ili kubaini ukweli wa malalamiko ya wanafunzi wa kutoridhishwa na mfumo wa uendeshaji na utoaji wa taaluma chuoni hapo ili kuweza kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizopo. |
@BAK I was wondering, was this ban successful? can we say there is no more use of foreign currencies?Govt reiterates ban on forex use in domestic transactions
By Lusekelo Philemon
25th May 2012
Finance Deputy Minister, Janet Mbene
The government has reiterated its resolve to ban the use of foreign currencies, especially the American dollar, in buying and selling goods and services in the country.
She said the ban on the use of foreign currencies would help boost the countrys economy.