Leo asubuhi hapa jijini kuna mgomo wa kutofungua maduka yote hapa Mwanza na baadhi ya wafanya biashara wanadai kuwa watafunga kwa muda usio julikana.
Hili ni janga jingine kwa utawala huu wa Mafisadi , sasa kwa mtindo huu je uchumi wa Taifa unakuwa......?
Hili ni janga jingine kwa utawala huu wa Mafisadi , sasa kwa mtindo huu je uchumi wa Taifa unakuwa......?