kwanza hongera sana kwa ushindi wa kishindo wa chopper 3 kwa kata 3..punguza jazba na kajeli za kitoto ukiwa mwenye akili timamu na kijana au mzee mwenye busara swala kama hili la wafanya biashara kugoma ilatakiwa kila mtanzania na mpokea huduma kutoka kwa hawa wafanyabiashara kulaani vikali kwa uwenda wazimu wanao kutufanyia sisi walaji na tumoiaji wa huduma wanazo toa,sijui kama wewe nikati ya hawa kundi la wezi na walanguzi wa pesa za watanzania..hawa wafanya biashara ni haki yao kununua na kuwa na hizo machine ili walipe kodi inayo stahili..wakati mwingine tuache ushabiki usio natija na kujifanya niwazalendo kumbe ni unafiki umetujaa mioyoni,tusimame na tutetee maslahi ya taifa