EFD: Igunga wafanyabiashara wagoma kufungua maduka!

EFD: Igunga wafanyabiashara wagoma kufungua maduka!

Sanoyet

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
1,323
Reaction score
295
mpaka muda huu hakuna hata duka 1 lililofunguliwa,kisa ni mashine za EFD,machinga,mama ntilie,fundi cherehani na soko wote wamegoma,huduma hakuna,mabucha tu ndo yako wazi.

SWALI:hivi hii serikali sikivu imeshachukua hatua gani toka Watanzania waanze kulalamikia huu unyonyaji na ujambazi ulioandaliwa na CCM ili yapate pesa za kuhonga wananchi ktk kampeni zijazo?

source:i'm there!
 
mpaka muda huu hakuna hata duka 1 lililofunguliwa,kisa ni mashine za EFD,machinga,mama ntilie,fundi cherehani na soko wote wamegoma,huduma hakuna,mabucha tu ndo yako wazi.

SWALI:hivi hii serikali sikivu imeshachukua hatua gani toka Watanzania waanze kulalamikia huu unyonyaji na ujambazi ulioandaliwa na CCM ili yapate pesa za kuhonga wananchi ktk kampeni zijazo?

source:i'm there!
Na wewe akili zako kweli hazina akili wewe unadhani bila kodi hiyo Igunga mtapata hospitali au hao mama Ntilie wanagoma tuu ukiwauliza wewe ikifika umepigwa ukapelekwa zahanati vifaa vya matibabu hamna utalalamika serekali kweli?Au ni basi tuu kwa vile wanaona vifaa vimeletwa hizo kodi watu wamekatwa ndio vinafanikisha yote.
Kuna mbunge 1 yeye jimboni kwake hataki wananchi wachangie maendeleo eti serekali itafanya so kama wananchi wanagomea mashine hayo maendeleo siwatayasikia kwenye bomba.?
 
Na wewe akili zako kweli hazina akili wewe unadhani bila kodi hiyo Igunga mtapata hospitali au hao mama Ntilie wanagoma tuu ukiwauliza wewe ikifika umepigwa ukapelekwa zahanati vifaa vya matibabu hamna utalalamika serekali kweli?Au ni basi tuu kwa vile wanaona vifaa vimeletwa hizo kodi watu wamekatwa ndio vinafanikisha yote.
Kuna mbunge 1 yeye jimboni kwake hataki wananchi wachangie maendeleo eti serekali itafanya so kama wananchi wanagomea mashine hayo maendeleo siwatayasikia kwenye bomba.?

Ili nchi iweze kuendelea, watu wake lazima walipe kodi, ila wewe hapa ndo unaonekana huna akili, unataka kuniambia kuwa hawa wafanyabiashara waliofunga maduka walikuwa hawalipi kodi mpaka walipoletewa hizi mashine za efd!? Tatizo lipo kwenye mfumo mpya wa ulipaji kodi na wafanyabiashara washaliona hili sio wewe uliyekaa kwenye keyboard na kuandika hiki, kwanza unajua hizi mashine zinavyo operate au unaropoka tu! Kama huropoki toa ufafanuzi hapa na sio porojo unazoleta hapa
 
Na wewe akili zako kweli hazina akili wewe unadhani bila kodi hiyo Igunga mtapata hospitali au hao mama Ntilie wanagoma tuu ukiwauliza wewe ikifika umepigwa ukapelekwa zahanati vifaa vya matibabu hamna utalalamika serekali kweli?Au ni basi tuu kwa vile wanaona vifaa vimeletwa hizo kodi watu wamekatwa ndio vinafanikisha yote.
Kuna mbunge 1 yeye jimboni kwake hataki wananchi wachangie maendeleo eti serekali itafanya so kama wananchi wanagomea mashine hayo maendeleo siwatayasikia kwenye bomba.?
^^
Be useful to your Boss but dont be used by him
^^
 
Ili nchi iweze kuendelea, watu wake lazima walipe kodi, ila wewe hapa ndo unaonekana huna akili, unataka kuniambia kuwa hawa wafanyabiashara waliofunga maduka walikuwa hawalipi kodi mpaka walipoletewa hizi mashine za efd!? Tatizo lipo kwenye mfumo mpya wa ulipaji kodi na wafanyabiashara washaliona hili sio wewe uliyekaa kwenye keyboard na kuandika hiki, kwanza unajua hizi mashine zinavyo operate au unaropoka tu! Kama huropoki toa ufafanuzi hapa na sio porojo unazoleta hapa
Walikuwa na wanalipa ila sio kama inavyotakiwa wewe hata uwatete vipi wafanyabiashara hizo mashine ndio suluhisho tuu.Wao watumie kwanza kama zitaleta shida ndio tulalamike wee mashine hata hujainunua kelele utadhani mauzo yote utapeleka TRA.Aaaaah wafunge kwanza sheria msumeno sio siasa kama tunavyotaka iwe.
 
Acha ushabiki wa kijinga.Wafanyabiashara wanajua wanachogomea.Waache wapambane na hii serikali dhalim ya CCM had kieleweke.Huwezi kunishawishi kwamba wafanyabiashara wanaogoma nchi nzima hawana akili!!Lazima kuna tatizo jombaaaa!
 
Wafanyabiashara na serikali wote ni wapuuzi... wamezoea kunyonya wafanyakazi. ..
 
Na wewe akili zako kweli hazina akili wewe unadhani bila kodi hiyo Igunga mtapata hospitali au hao mama Ntilie wanagoma tuu ukiwauliza wewe ikifika umepigwa ukapelekwa zahanati vifaa vya matibabu hamna utalalamika serekali kweli?Au ni basi tuu kwa vile wanaona vifaa vimeletwa hizo kodi watu wamekatwa ndio vinafanikisha yote.
Kuna mbunge 1 yeye jimboni kwake hataki wananchi wachangie maendeleo eti serekali itafanya so kama wananchi wanagomea mashine hayo maendeleo siwatayasikia kwenye bomba.?

Ninatamani nijue jina lako halisi,jinsia,kabila,elimu,kazi unayofanya,mkoa uliopo,umeoa/olewa au la,sababu ulizonazo za kudata kwa hii serikali chini ya chama chao,uwezo wako wa kupambanua mambo na matukio,etc.ili nilinganishe na maupupu uliyokomenti hapo!
Kama kweli unaishi tz na maisha ya mtz ndani ya mazingira hatarishi yaliyosababishwa na uhaini wa ccm usingeandika uharo kama huo!
 
Leo wafanya Biashara wamegoma toka asubui wakipinga ununuzi wa mashine licha ya Mkuu wa wilaya kufika na kuongeya nao lakini zoezi limegonga mwamba hakika hali ni tete kiuduma, picha nita wa leteya baadaye.
 
Ninatamani nijue jina lako halisi,jinsia,kabila,elimu,kazi unayofanya,mkoa uliopo,umeoa/olewa au la,sababu ulizonazo za kudata kwa hii serikali chini ya chama chao,uwezo wako wa kupambanua mambo na matukio,etc.ili nilinganishe na maupupu uliyokomenti hapo!
Kama kweli unaishi tz na maisha ya mtz ndani ya mazingira hatarishi yaliyosababishwa na uhaini wa ccm usingeandika uharo kama huo!
Kwa hiyo watu wagome tuu kodi zisilipwe kiutaratibu dah kweli elimu inahitajika tena ya nguvu kuhusu kulipa kodi.Ulaya kulipoendelea tunapotaka kupaiga kosa la kukwepa kodi lazima uozee jela hapa ambapo kila kitu tunasubiri misaada kulipa kodi eti ni uonevu.Daah sijui ila mfumo wa maisha yetu ndivyo ulivyo hata mimi naelekea nakosea sababu kutetea lazima kodi zilipwe na kukusanywa kwa asilimia kubwa naonekana mzungu.Ngoja tuipe CDM halafu tufute Kodi hapo ndipo watu kama wewe utaona ndio sawa,na hizo chopa sasa sijui tutazijaza maji?
 
Ili nchi iweze kuendelea, watu wake lazima walipe kodi, ila wewe hapa ndo unaonekana huna akili, unataka kuniambia kuwa hawa wafanyabiashara waliofunga maduka walikuwa hawalipi kodi mpaka walipoletewa hizi mashine za efd!? Tatizo lipo kwenye mfumo mpya wa ulipaji kodi na wafanyabiashara washaliona hili sio wewe uliyekaa kwenye keyboard na kuandika hiki, kwanza unajua hizi mashine zinavyo operate au unaropoka tu! Kama huropoki toa ufafanuzi hapa na sio porojo unazoleta hapa
Sidhani kama hawa wafanya biashara wanagoma kulipa KODI, wanachogomea ni namna wanavyo lazimishwa kukua kifaa and then kinakua tena sio chao, is like TANESCO, anyway, umeisha wahi kujiuliza hizi kodi tunazo lipa zinatumikaje? Niliposikia Wabunge wa Bunge la katiba watakua wanakomba 700k kweli akili ilivurugika kabisa, mbona kwenye mambo ya msingi serikali hua inasema haina PESA, mambo yote yanayohusu sias pesa hua zipo, huaga zinatoka wapi hizo? Kumbuka hi kitu hata kwenye bunge la Bajeti haikuwepo, kama kuna mtu aliisikia Mgimwa akiisoma hi kitu atwambie hapa, haya ndio mambo yanayofanya wengine wachukizwe, kumbe kama serikali ingetaka, TRA wangeweza kuzinunua kabisa hizo machines na wafanyabiasha wangepewa bure tu.
 
Walikuwa na wanalipa ila sio kama inavyotakiwa wewe hata uwatete vipi wafanyabiashara hizo mashine ndio suluhisho tuu.Wao watumie kwanza kama zitaleta shida ndio tulalamike wee mashine hata hujainunua kelele utadhani mauzo yote utapeleka TRA.Aaaaah wafunge kwanza sheria msumeno sio siasa kama tunavyotaka iwe.

Basi waambie toa bure kwanini wanalazimisha zinunuliwe na km serikali inalengo zuri kwa mfanyabiashara kwanini wasiwalazimishe kuwakopesha mitaji ndipo wapate hizo laki sita za kulipia mashine zao. usifikiri wafanyabiashara ni wajinga kiasi hicho. Tangu lini mtu hulazimishwa kukopwa .... Embu fuatilia vizur mjadala wa hizo mashine
 
Walikuwa na wanalipa ila sio kama inavyotakiwa wewe hata uwatete vipi wafanyabiashara hizo mashine ndio suluhisho tuu.Wao watumie kwanza kama zitaleta shida ndio tulalamike wee mashine hata hujainunua kelele utadhani mauzo yote utapeleka TRA.Aaaaah wafunge kwanza sheria msumeno sio siasa kama tunavyotaka iwe.
Sijui kama unaelewa unachokisema, kwani hizo machine hua zinaangalia kinachonunuliwa dukani? Si ni muuza duka ndio anaeingiza DATA? Kwamfano nimenunua shati la Tsh 25,000/= hivi muuzaji akiamua kuandika Tsh 18,000/= machine itakataa? Yaelekea unaishi ulimwengu mwingine na sio hu, hizo machine sio suruhisho hata kidogo, twende hata kwenye mishahara kwafano, mishahara ya Wabunge, mawaziri ni ya kawaida sana tu (ambayo inastahiri kukatwa PAYE) lakini angalia miposho (hua haiandikwi kwenye salary slip) mafuta lita 50@2500 kila siku, posho za kukaa, 200k, matengenezo ya gari, dereva na mfuko wa jimbo, ukijumlisha vyote vinaleta kama Tsh 12,000,000/= lakini mshahra wa Mbunge kwa maana ya basic salary 1,800,000/= tu na hizo ndizo zinazokatwa kodi. Kwa kusema hivyo hata mfanya biashara nae akitaka anafanya tu hivyo hivyo!
 
Basi waambie toa bure kwanini wanalazimisha zinunuliwe na km serikali inalengo zuri kwa mfanyabiashara kwanini wasiwalazimishe kuwakopesha mitaji ndipo wapate hizo laki sita za kulipia mashine zao. usifikiri wafanyabiashara ni wajinga kiasi hicho. Tangu lini mtu hulazimishwa kukopwa .... Embu fuatilia vizur mjadala wa hizo mashine
Hizo siasa mbona luku za tanesco kwenye maduka yao hawagomei au kuitaka Tanesco wawakopeshe?Ndugu dukani una mlinzi,una mzani,unafriza 6,friji 4,Kofuli za solex 40,Grili umetengeneza vyuma umeimport,Kodi una lipa 2.5m kwa mwezi.Sales turnover yako 100m kwa mwezi utashindwa mashine laki 9.Au unang'ang'ania uendelee kulipa kodi 80000 kama ulivyodanganya TRA wakati unaanzisha biashara?
 
Duh kweli serekali haina macho na masikio soon itakuwa nchi nzima
 
Back
Top Bottom