Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
- Thread starter
- #41
NdioUmewahi shuhudia yeyote kubakwa??
NdioUmewahi shuhudia yeyote kubakwa??
Itatunza serikaliSikatai lakiñi tujiulize kuhusu matokeo yake kama akapata mimba.Ataweza kulea mtoto na kama hatoweza vipi wewe kama mzazi mwenzie upo tayari kulea
Sio vichaa wote unaowaona wana mimba bac wamepewa mimba na wanaume timamu,wengine wamepigwa mzigo na vichaa wenzao usiku au vijana wakubwa machokoraa wasio na mahali sahihi pa kulala,wanalala kwenye makalavati ya barabarani na huko ndio wanakutana na vichaa na kuonea maugwadu yao,Mara nyingine wakikosa vichaa wanalawiti watt wadogo machokoraa wenzao,maana hana mahali pa kumwagia nyege zake unless apige punyeto,hakuna msichana mwenye akili zake atakae kubali kutembea nae labda amvizie usiku kichochoroni ambake,...japo pia kuna baadhi ya wanaume timamu kabisa wanawatinduaga vichaa,Ila ni wachache sana.Ninandika huku nina majonzi mazito nyoyoni kutokana na tabia ambayo tunayo sisi wanamume. Mwanaume ni kiongozi katika familia na jamii zetu hakuna mwenye kupinga katika hili. Lakini kwa tabia hizi tunazoziendeleza zinatuweka katika daraja la chini kabisa.
Ijumaa karimu bandugu. Kuna haka katabia ambako kameenea katika maeneo mbalimbali katika mikoa yetu. Najua umewahi kuona vichaa hawa wa jinsia ya kike wakiwa na ujauzito.
Inasikitisha sana kuona mwanamke asiye na utimamu wa akili (kichaa) akiingiliwa kimwili hadi kuwa mjamzito bila ridhaa yake. Tena kuna baadhi yao wamezaa hadi watoto watatu na zaidi wakiwa katika ukichaa huo. Yaani inafika kipindi wengine wanachomwa sindano za kuzuia mimba.
Wanaofanya tabià si wengine ila sisi wanamume, tumekumbwa na nini sisi mbona kuna wanawake wengi tu.
Hii tabia ni ya kukemewa sana.
Nami nilishuhudia hili sokoni pale, nimeshahu tu majina ya hawa vichaa walikuwa maarufu sana.Mkuu hata vichaa wenyewe huwa wanapigana mabao! Mwaka mmoja hivi nikiwa Morogoro, vichaa me na ke wakakutana kwenye kidaraja pale karibu na round about ya Masika, ghafla tukaona wanaangushana na kupigana mbupu pale. Walipomaliza wakakimbilia kwenye kijito kujimwagia maji. Sasa hapo kichaa ke hawezi kubeba mimba?
Naona Deo Kisandu amekupa like hapo mkuuTunakoelekea kulingana na malalamiko ya wadada, hawa chizi wa kiume watawekwa ndani pia.
Hujapenda?Naona Deo Kisandu amekupa like hapo mkuu
Kuna kichaa kitaani kwetu aliwahi kuzalishwa Mara 3 na wanaume tofauti,huwa najiuliza akili za wanaume zipoje? Ilihali wengi tunakiri ya kwamba wanaume vichaa hupotezewa na hawa Dada zetu,ila wadada vichaa hutunikiwa mshedede.
Me kuna mmoja nilikuwa namfunua nguo alafu namchungulia yeye alikuwa mkubwa me nilikuwa mdogo zamani lakiniMwanaume yeyote yule rijali akiona uchi lazima mdudu usimame akili zao zinawatosha wenyewe yule mdyudyu akisimama
Hakika ni jambo baya sana kubaka(si kufanya mapenzi maana hiyari hakuna hapo) na mwanamke mwenye ulemavu wa akili. Kama ni jambo jema kwanini mwanaume hajitokezi hadharani na ijulikane kua ana date na mlemavu wa akili?! Ni kitendo cha aibu na ukatili pia
Inachanganya eeh? Ngoja na mimi nikuongezee kuchanganyikiwa;Jamani hivi vichaa ni:-
1. Walemavu wa akili, au
2. Wagonjwa wa akili, au
3. Waliopungukiwa akili, au
4. Waliokosa akili?
Kwa uzito huohuo inakuaje mlemavu wa akili mwanaume anapobaka dada/mke/binti au ndugu yako?
Kuna kisa maarufu sana kilitokea katika moja ya mikoa ya kaskazini mwa nchi yetu. Kichaa(au jina la staha mlemavu wa akili) mmoja alimbaka mpaka akamaliza tena hadharani mwanamke aliekua ameinama.Yule mama aliishia kujiua baada ya kupata usononi(depression) ya hali ya juu. Watu walioishi mkoani humo kwa muda mrefu watakua wanakijua kisa hiki.
Sio jambo zuri kungonoka na wanawake walio na changamoto za akili kama ambavyo hatupendi wanawake wetu wafanyiwe hivo na watu hao