nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Umewahi shuhudia yeyote kubakwa??Sikatai kama wanakubali kwa hiari yao lakini cha kushangaza wengi wanabakwa tu kitu ambacho ni unyanyasaji mkubwa dhidi yao
Umewahi shuhudia yeyote kubakwa??Sikatai kama wanakubali kwa hiari yao lakini cha kushangaza wengi wanabakwa tu kitu ambacho ni unyanyasaji mkubwa dhidi yao
mkuu vichaa wengine wanazalishwa na mabrazameni huwezi amini....!wanazaaga na vichaa wenzao.
mtu mwenye akili timamu hawezi zaa/baka na kichaa.
kichaa si lazima kuokota makopo.
Hiki ulichoandika ni unyanyapaa Kwa mlemavu wa akili. Licha ya kuwa ni walemavu ila bado wana haki ya kuzaa.
Hizo shida zinasababishwa na mambo kadhaa. Mosi, kitengo cha usitawi wa jamii hakitimizi majukumu yake. pili, jamii yetu haina utaratibu wa kutoa sadaka kwa vituo vya kulea watoto yatima na waishio mazingira magumu. Tatu, jamii kutokutambua haki za walemavu.Hata kama wana haki ya kuzaa huoni kama mnawapa mzigo mkubwa yy kutunza hao watoto katika hatari??? Mvua yake jua lake na mtoto jamani hebu acheni
Wengi wao wanapewa mimba na vichaa wenzao. Hata wale temporary insane wanaowatafuna hawawezi kuwa na uhakika kama mimba ni zao. Maelezo zaidi soma post #25.Wanaozalisha wanatunza? Watoto wanazaliwa wanaishi mazingira ya hatari sana.
Wengi wao wanapewa mimba na vichaa wenzao. Hata wale temporary insane wanaowatafuna hawawezi kuwa na uhakika kama mimba ni zao. Maelezo zaidi soma post #25.
mkuu vichaa wengine wanazalishwa na mabrazameni huwezi amini....!
Kuzaa ni haki za kimaumbile, ila matunzo kwa mtoto ni haki / makujukumu ya kijamii.Utasemaje wana haki ya kuzaa ilihali hawawezi kubeba majukumu ya kulea kiumbe kinachozaliwa?With rights comes responsibility.
Kama wanaowapa mimba wanafanya hivyo kwa kisingizio cha kuwaepushia unyanyapaa basi watakuwa ni watu waelewa sana. Walee na hao watoto wanaozaliwa
Kuzaa ni haki za kimaumbile, ila matunzo kwa mtoto ni haki / makujukumu ya kijamii.
Hujawahi sikia wnaume wanatelekeza familia zao licha ya wake zao kuwa na akili timamu?Hata hivyo, kosa hilo lina adhabu yake kisheria. Ugumu wa kuwaadhibu waliowazalisha na kuwatelekeza vichaa hao ni kuwapata hao watuhumiwa ili kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.Je ni sawa na haki mwanaume mwenye akili timamu kumtia mimba kichaa na kuacha watoto wakizagaa kuishi maisha hatarishi? (Siamini wanapewa mimba na vichaa wenzao).
Kuna mmoja alikua Mwanza, ni bubu halafu pia ana tatizo la akili, ikifika jioni wanaume na akili zao timamu wanaanza kumnyapia nyapia, mara ya mwisho kumuona alikua mjamzitoHiyo ni one in thousand,wengi wao wanapewa na wenye akili timamu
Bahati nzuri umesema kilichomua siyo kubakwa bali kukosekana kwa huduma za ushauri. Angepatiwa huduma muafaka huyo mtu asingejidhuru. Tena huenda sasa angekuwa mtetezi mkubwa wa haki za wagonjwa wa akili. Watu wanaingiliwa na mbwa ila hawajiuwi iweje yeye afe?Kwa uzito huohuo inakuaje mlemavu wa akili mwanaume anapobaka dada/mke/binti au ndugu yako?
Kuna kisa maarufu sana kilitokea katika moja ya mikoa ya kaskazini mwa nchi yetu. Kichaa(au jina la staha mlemavu wa akili) mmoja alimbaka mpaka akamaliza tena hadharani mwanamke aliekua ameinama.Yule mama aliishia kujiua baada ya kupata usononi(depression) ya hali ya juu. Watu walioishi mkoani humo kwa muda mrefu watakua wanakijua kisa hiki.
Sio jambo zuri kungonoka na wanawake walio na changamoto za akili kama ambavyo hatupendi wanawake wetu wafanyiwe hivo na watu hao
Kuna mmoja alikuwa ana figure na kuvaa kwake kama hiyo avatar yako. Mzee mmoja naye fyatu fyatu hivi, alivuta akamfanya mke na kumzalisha. Ila ndugu zao walikuwa wanachukua watoto na kuwalea. Ni kama walizaa watoto wawili.Kuna mmoja alikua Mwanza, ni bubu halafu pia ana tatizo la akili, ikifika jioni wanaume na akili zao timamu wanaanza kumnyapia nyapia, mara ya mwisho kumuona alikua mjamzito
Bora huyo aliemfanya mke tehKuna mmoja alikuwa ana figure na kuvaa kwake kama hiyo avatar yako. Mzee mmoja naye fyatu fyatu hivi, alivuta akamfanya mke na kumzalisha. Ila ndugu zao walikuwa wanachukua watoto na kuwalea. Ni kama walizaa watoto wawili.
Sikatai lakiñi tujiulize kuhusu matokeo yake kama akapata mimba.Ataweza kulea mtoto na kama hatoweza vipi wewe kama mzazi mwenzie upo tayari kuleaWana haki ya kupata mapenzi,