Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

hehehe! sasa unajLINGANISHA na JS ama vipi? ana vyeti uyo! usifanye mchezo kabisa apo we kusanya uchakavu tu!

Nasikia Kesho ndio Karume anampindua Seif Sharrif Hamad.[/QUOTE]


sasa wakikusikia hao! haya mambo ya siasa haya!

Na kweli bana! Naona nimeteleza kiduchu; nimesahau nina aleji ya siasa! Hivyo vyeti vya uhasibu vya JS kavipata lini? Mi najua cheaman umenibania sababu JS anavaa sketi...........
 
hehehe! sasa unajLINGANISHA na JS ama vipi? ana vyeti uyo! usifanye mchezo kabisa apo we kusanya uchakavu tu!



Na kweli bana! Naona nimeteleza kiduchu; nimesahau nina aleji ya siasa! Hivyo vyeti vya uhasibu vya JS kavipata lini? Mi najua cheaman umenibania sababu JS anavaa sketi...........
.. :D:D...
mheshimiwa mwenyekiti,karibu ujibu hoja ya msingi
 
Sasa Xspin ule mpango ndo vipi maana umedivert mpaka ukajisahaulisha kabisa makusudi we huoni baridi inazidi????

Bado nasubiri PM yako nikamate contacts zako biashara ianze. Naona bado imeweka kambi Jambo Pub!
 
Eti binamu hiyo Jambo Pun ndio ''Chawote Bar'' au?

Hahaha! Naona umetoka kuzimua kidogo!
Jambo Pub ni Jambo Pub
Chawote ni Chawote
Zero Pub ni Zero Pub

Nimerusha mistari hapo................
 
Hahaha! Naona umetoka kuzimua kidogo!
Jambo Pub ni Jambo Pub
Chawote ni Chawote
Zero Pub ni Zero Pub

Nimerusha mistari hapo................

Hujatulia binamu........sina hangover mwaka huu nimeamua kupumzika kinywaji na ngono zembe!
 
Hahaha! Naona umetoka kuzimua kidogo!
Jambo Pub ni Jambo Pub
Chawote ni Chawote
Zero Pub ni Zero Pub

Nimerusha mistari hapo................
yeeeeeaaahh!......
kwa msaada zaidi ni bora akupiemu
akikupiemu utamuonyesha wapi wadau tunakula vitu
inaweza kuwa zero,chawote au jambo pub
huko kote kumekucha michemsho na makange ya kuku,
utakula vodka,whisk bia na valuu
watoto wakishua wakiona lazima wainue mikono juu

yeeeeeaaah!...
 
Hujatulia binamu........sina hangover mwaka huu nimeamua kupumzika kinywaji na ngono zembe!

Hapo kwenye blue sawa! Ila hapo kwenye red, ntakufanyia maombi pale TBL! Ushindwe na ulegee!
 
yeeeeeaaahh!......
kwa msaada zaidi ni bora akupiemu
akikupiemu utamuonyesha wapi wadau tunakula vitu
inaweza kuwa zero,chawote au jambo pub
huko kote kumekucha michemsho na makange ya kuku,
utakula vodka,whisk bia na valuu
watoto wakishua wakiona lazima wainue mikono juu

yeeeeeaaah!...

Ukienda Chawote unakula bia na Neema,
Ukitinga zero kokoto valuu kwa heshima,
Kwa huduma zaidi, Eliza hana hujuma,
Jambo pub kwa ankal utamkuta Fatuma,
Akichelewa kwa spidi aja Halima,
Ni bia valuu na kudumisha Mila


Mistari hiyo inaendelea.......
 
naona tbl watakuwa wamepata PIGO

Tehe tehe tehe binamu unaua bendi! Itabidi meneje mauzo wa Ndovu aje aongee nami vizuri! Labda naweza kufanyia marekebisho kidogo hizi ''New Year Resolutions'' zangu!
 
Ukienda Chawote unakula bia na Neema,
Ukitinga zero kokoto valuu kwa heshima,
Kwa huduma zaidi, Eliza hana hujuma,
Jambo pub kwa ankal utamkuta Fatuma,
Akichelewa kwa spidi aja Halima,
Ni bia valuu na kudumisha Mila


Mistari hiyo inaendelea.......
hahahahahahahah!
UMEKULA SENKSI kwasababu UNATISHA
unashusha rhymes mpaka watu WANADATA
WANADATA DATA DATA DATA DATA DATA
kweli injinia unatisha kila kona
nimekukubali kwa valuu na nyama choma
nimekuheshimu ni kijana wa kimila
tukitoka hapa stendi ya kwanza basihaya
 
Tehe tehe tehe binamu unaua bendi! Itabidi meneje mauzo wa Ndovu aje aongee nami vizuri! Labda naweza kufanyia marekebisho kidogo hizi ''New Year Resolutions'' zangu!

Kwakweli umenisikitisha na kunikatisha tamaa
Inakuwaje mvuvi akaogopa kibua?
Bila wewe ndugu wakosa ajira na kulala njaa,
Fanya marekebisho Eliza apate kuvaa,
Muhimbili wagonjwa wapate madawa,
Watu wakose dawa kisa Masaki kasusa?
.............................
 
hahahahahahahah!
UMEKULA SENKSI kwasababu UNATISHA
unashusha rhymes mpaka watu WANADATA
WANADATA DATA DATA DATA DATA DATA
kweli injinia unatisha kila kona
nimekukubali kwa valuu na nyama choma
nimekuheshimu ni kijana wa kimila
tukitoka hapa stendi ya kwanza basihaya

Tunachana chana mistari na vina,
Tunachana chana hata pakiti valua,
Tunachana chana mpaka lebo za bia,
Tunachana ndovu, ngeti, na taska pia,
Tunachana kongoro koto kwa bia,
Tunachana mwendo tukutuku kwa gia,
Tunachana mwendo hata breki zikivia,
Bora liende tukate kiu kwa bia......
 
Kwakweli umenisikitisha na kunikatisha tamaa
Inakuwaje mvuvi akaogopa kibua?
Bila wewe ndugu wakosa ajira na kulala njaa,
Fanya marekebisho Eliza apate kuvaa,
Muhimbili wagonjwa wapate madawa,
Watu wakose dawa kisa Masaki kasusa?
.............................
yeeeaah,AHAAA
YIIIAAAAH,huh
masaki amesusa,
anahatarisha ajira za watu wasiopungua saba
anasababisha baadhi ya watu kufa njaa
MASAKI kula bia,masaki badilika
bia ndo maisha,bia ndo mila
 
Back
Top Bottom