Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Muulize binamu Kaizer yeye ndo alidelegate hilo suala nikurudishie uongozi
Hahaha! Haya bana! Mmenifanyia ufisadi siyo? Btw nambie haka kabaridi, na we mwenyewe uko singo, si unataabika sana?
Muulize binamu Kaizer yeye ndo alidelegate hilo suala nikurudishie uongozi
Hahaha! Haya bana! Mmenifanyia ufisadi siyo? Btw nambie haka kabaridi, na we mwenyewe uko singo, si unataabika sana?
HEHEHE!wewe mtundu sanaSi sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
Maskini dada yangu, nakuonea huruma sana!Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
HEHEHE!wewe mtundu sana
fidel yupo loose
Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
Maskini dada yangu, nakuonea huruma sana!
We taratibu. Tuko bize tunamtafutia pamanenti joto!Js pole ..sasa tukusaidie vipi??? mi ntakununulia hot water bottle to keep warm..
Usinionee huruma kaka Xspin fanya ndingoz basi eeeee!!!!!
Js pole ..sasa tukusaidie vipi??? mi ntakununulia hot water bottle to keep warm..
Ndo niko kwenye mkakati hivyo, lakini nawe usinilet down! Hebu niPM contacts zako fasta.
Unaona sasa? Kwahiyo nisitishe zoezi siyo?OOh Shishi nimekupa senksi kule chini yani you are so sweet!!!!!that will surely do.
PM inakuja iko njiani lakini kaka Xspin mmmh mbona sikuamini amini vile??????
Unaona sasa? Kwahiyo nisitishe zoezi siyo?
Mi nilijipendekeza jana nikaenda church. Nilijisahau kuwa nina aleji ya sakramenti! Lol! Pepo lilivotoka mpaka sasa niko hoi!
AAH!mamaa wa avatorz....kaka nini tena?
Huniamini kwa lipi?
He! Umeamka? Ulilala wapi na nani? ndo unaamka mida hii?kaka nini tena?