Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

hahaa Lily acha kunichekesha tena na wewe!!! Hivi na hii nayo ya kutakiana heri eeeeh!!!! njii hii ina mambo!!!

zamu yao kwenda huko sisi tulienda sana enzi za puraimari na hamna lamaana niliona!!! niliishia kununua ngubit na kuchafua unifomu basi!!!

yewomiii, bht una balaa ama? nimecheka sana tena sana...wewe nipeleke pole pole mwenzio.
 
yewomiii, bht una balaa ama? nimecheka sana tena sana...wewe nipeleke pole pole mwenzio.

haaaaaa inaelekea ulikwa mshirika weweee Nyamayao!!!! eeeh ile kitu nilikula best mpaka siitamani tena na siitaki!!!
 
have great one wapenzi tutaongea kesho ngoja nikatafute pa kupunguzia machungu ya maisha ...akili itulie ..nyamayao bht ,,Lily kesho
 
have great one wapenzi tutaongea kesho ngoja nikatafute pa kupunguzia machungu ya maisha ...akili itulie ..nyamayao bht ,,Lily kesho

thanks dia, anagalia usinywe sumu tu maana mwka ndo umeanza na kazi nzito mbele yako (2010 kikazi zaidi)

nimeimis ile ya "ngoja nikampikie Hubby".....hahaaa why did I get married!!!

salimia brother in law mpendwa!!!
 
thanks dia, anagalia usinywe sumu tu maana mwka ndo umeanza na kazi nzito mbele yako (2010 kikazi zaidi)

nimeimis ile ya "ngoja nikampikie Hubby".....hahaaa why did I get married!!!

salimia brother in law mpendwa!!!

hahahaha leo zamu yake kunipikia mwenzio raha kuolewa na kuoa ;)
 
haaaaaa inaelekea ulikwa mshirika weweee Nyamayao!!!! eeeh ile kitu nilikula best mpaka siitamani tena na siitaki!!!



haa yaani kuna vitu vingine kama hivo mtu unakuwa ulsahvisahau kabisa...u made ma day dear.
 
hahaaa liliy afu maeksipati wa ngubit walikuwa arusha dah nilikuwa natafuna mpaka naskia kizunguzungu hahaaaa



na we Naniliu usijifanye kunisahau!!!! enzi zile za mwalimu Kinyaiya na Laizer!! uwanjani lazima kenda na hakuna kuondoka mpaka programu iishe!!! no mata how sunny it is mtashaaa hapo!!!

ndo maaana tumekinai hii kitu ya maandamano!!!!

ila sasa sisi tulikuwa na bahati shule yetu ilikuwa karibu na bibi mmoja anauza tunaita wenyewe barafu, dah bibi yule sijui alikuwa mchawi barafu zilikuwa tamu hata kama mvua ya mawe inanyesha unatukuta pale tumeshawahi
 
ila sasa sisi tulikuwa na bahati shule yetu ilikuwa karibu na bibi mmoja anauza tunaita wenyewe barafu, dah bibi yule sijui alikuwa mchawi barafu zilikuwa tamu hata kama mvua ya mawe inanyesha unatukuta pale tumeshawahi

maisha yale ya utoto jamani....barafu na baridi n amafua juu, who cares!!!!

'natamani kuwa malaika....natamni kurudi nyuma...natamni kuwa tena mtoto...duh!!! life with No stress!!!
 
have great one wapenzi tutaongea kesho ngoja nikatafute pa kupunguzia machungu ya maisha ...akili itulie ..nyamayao bht ,,Lily kesho


mami naomba ukaburubike na OYOYO wa J Martins...hapa nauwangalia me hoi...oyooo oyoyoo...oyoyoo hii song bwana inaniachaga hoi....bht hebu shusha verse kidogo jamani....
 
mami naomba ukaburubike na OYOYO wa J Martins...hapa nauwangalia me hoi...oyooo oyoyoo...oyoyoo hii song bwana inaniachaga hoi....bht hebu shusha verse kidogo jamani....

yeeMungu huko kwenye verse am deadly bad!!!! ntadaiwa hati miliki bure mie naogopa!!!!

bt i like that one too!!!
 
mami naomba ukaburubike na OYOYO wa J Martins...hapa nauwangalia me hoi...oyooo oyoyoo...oyoyoo hii song bwana inaniachaga hoi....bht hebu shusha verse kidogo jamani....

kwa kweli hii nyimbo imebamba mbaya hasa pale anaposema kulukulu okada drivers kulukulu....... mwenye lyrics atutundikie tujimuvuzishe sie
 
kwa kweli hii nyimbo imebamba mbaya hasa pale anaposema kulukulu okada drivers kulukulu....... mwenye lyrics atutundikie tujimuvuzishe sie

itanoga na huto tuglass tugonganishe weeeeee!!!!!
 
kwa kweli hii nyimbo imebamba mbaya hasa pale anaposema kulukulu okada drivers kulukulu....... mwenye lyrics atutundikie tujimuvuzishe sie


papa n mama kulukulu....haaa bwana naniliu fanya u2ndu tupate japo mawili matatu....
 
Back
Top Bottom