Heshima kwenu wakuu.
Kuzaliwa mwanaume ni bahati ila kuishi uanaume ni majukumu, lakini kuzaliwa MWANAMKE ni furaha kwa wote.
Familia ina watu 4. Baba, mama, mtoto wa miaka 5 na wa mwaka 1. Imefika usiku mda wa kulala. Mtoto mdogo analia lia, mama anambembeleza na kumnyonyesha mpk anasinzia. Akimaliza anamgeukia Baba ambaye alikiwa anasubiri kugegeda. Maromance ya kufa mtu kisha baba anapata haki yake. Kwa sababu ya pilika hizo mtoto kashtuka, mama anamgeukia anamtuliza ili asinzie. Saa 9 usiku mtoto kaamka tena, mama naye kaamka anamtuliza analala tena. Haya asubuhi saa 11, baba anaanza kumpapasa mama, anataka agegede kidogo. Mama anatoa ushirikiano, baba anapata haki yake. Mtoto mkubwa kaamka, mda wa kwenda shule. Dada wa kazi kamuandaa ila mama lazima akahakikishe kama mtoto kala & kuvaa vizuri, kisha anamuaga. Saa 2 mama anaenda kwny shughuli za ujasiriamali, baada ya masaa 4 anarudi home kumcheki mtoto kisha aende tena kazini kwake. Jioni imefika anakagua kama msosi na kila ki2 kipo vzr. Haya anayafanya kila siku, mwezi mzima, miaka nenda rudi.
Ee Mola mjalie mama huyu afya njema na furaha. Kila mmoja nyumbani anamhitaji kwa mahitaji yake binafsi.
Amen... Amina...Aamin.
Kuzaliwa mwanaume ni bahati ila kuishi uanaume ni majukumu, lakini kuzaliwa MWANAMKE ni furaha kwa wote.
Familia ina watu 4. Baba, mama, mtoto wa miaka 5 na wa mwaka 1. Imefika usiku mda wa kulala. Mtoto mdogo analia lia, mama anambembeleza na kumnyonyesha mpk anasinzia. Akimaliza anamgeukia Baba ambaye alikiwa anasubiri kugegeda. Maromance ya kufa mtu kisha baba anapata haki yake. Kwa sababu ya pilika hizo mtoto kashtuka, mama anamgeukia anamtuliza ili asinzie. Saa 9 usiku mtoto kaamka tena, mama naye kaamka anamtuliza analala tena. Haya asubuhi saa 11, baba anaanza kumpapasa mama, anataka agegede kidogo. Mama anatoa ushirikiano, baba anapata haki yake. Mtoto mkubwa kaamka, mda wa kwenda shule. Dada wa kazi kamuandaa ila mama lazima akahakikishe kama mtoto kala & kuvaa vizuri, kisha anamuaga. Saa 2 mama anaenda kwny shughuli za ujasiriamali, baada ya masaa 4 anarudi home kumcheki mtoto kisha aende tena kazini kwake. Jioni imefika anakagua kama msosi na kila ki2 kipo vzr. Haya anayafanya kila siku, mwezi mzima, miaka nenda rudi.
Ee Mola mjalie mama huyu afya njema na furaha. Kila mmoja nyumbani anamhitaji kwa mahitaji yake binafsi.
Amen... Amina...Aamin.