- Thread starter
- #61
Kusubiri kwa mda gani?Kwann uendekeze kugegeda wakati mtoto bado ananyonya tuwe tunasubir watoto wakue vizur
Kusubiri kwa mda gani?Kwann uendekeze kugegeda wakati mtoto bado ananyonya tuwe tunasubir watoto wakue vizur
Kilombero kuna kiwanda kimoja tu cha sukari.Kiwanda kipi unakiongelea? Na unajuaje kwamba hicho unachoongelea ndicho ninachoongelea mimi?
Una define vipi kiwanda cha sukari, unavi hesabuje viwanda hivi na kwa frequency gani?Kilombero kuna kiwanda kimoja tu cha sukari.
Mambo ya define & frequency tena. Nenda kwny point moja kwa moja acha kuzunguka.Una define vipi kiwanda cha sukari, unavi hesabuje viwanda hivi na kwa frequency gani?
Wewe ndiye unayezunguka.Mambo ya define & frequency tena. Nenda kwny point moja kwa moja acha kuzunguka.
Bathi thawa mkuu.Wewe ndiye unayezunguka.
Wote tynaweza kuwa tunasema "kiwanda cha sukari" kumbe tunamaanisha vitu viwili tofauti.
Ndiyo maana nikakwambia define kiwanda cha sukari ni nini kwako.
Halafu uniambie umevihesabu lini na unavihesabu kwa frequency gani.
Ukishindwa kunipa habari hizibwewe ndiye utakuwa unazunguka.
At least mtoto amalize kunyonyaKusubiri kwa mda gani?
Ungetaja mda ndo ungeeleweka vzr. mtoto amalize kunyonya kwa maana ya mpaka aachishwe ambapo inaweza chukua mwaka 1 au 2....???At least mtoto amalize kunyonya